Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nahitaji mwanamke aliye serious kuingia kwenye ndoa takatifu awe na sifa zifuatazo 1. Umri usizidi miaka 29 2. Awe mkristo au tayari kubadili dini na kuwa mkristo 3. Awe anajishughulisha na...
4 Reactions
2 Replies
943 Views
Umri wangu miaka 32 mdada mwenye sifa zifuatazo anaitajika. 1.awe anapenda ugomvi 2.awe anatumia castle lite ata bingwa sio mbaya 3.awe na mtoto wasizidi 2 4.umri wake usizid miaka 34 5.awe...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuhusu Mimi, Miaka 36 Mkristo Mwajiriwa wa serikali Shahada ya uzamili Urefu 175cm, Uzito 66Kg Ninaye mtafuta -Umri 28 mpaka 38 -Dini yoyote lakini awe tayari kuwa mkristo. -Akiwa na mtoto siyo...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta rafiki Sifa:awe mwanamke, umri 18-99 Awe muislamu Awe na elimu kuanzia kidato cha nne Awe mweupe, awe mnene au mwembamba kiasu Asiwe mrefu wala. Mfupi Kabila: Lolote...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha habari chahusika. Natafuta mwanamke ambaye anahitaji kuwa na mwanaume for long term relationship ili kujenga familia pamoja. Sifa za mwanamke nimtakaye: 1. Awe anaishi mkoani Mbeya...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wakuu kwa ujumla na wadada na wamama mliomo hapa. Natafuta mchumba wa kuoa . Narudia wa kuoa na kuishi nae. Awe dini yeyote, kabila lolote, elimu yeyote japo akiwa mchamungu itapendeza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Duh...nitazini hadi lini? Mwisho wa siku nitakuja kukanyaga mawaya Bure, nataka mke jamani,nipo extremely serious nataka mke mie jamani. Sifa Awe kutoka kabila lolote na Taifa lolote Duniani...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu, Mimi binti wa miaka23, naomba mnipe ABC ndg zangu, jinsi ya kumsahau mtu aliye kuacha. Nilikuwa kwenye mahusiano na mkaka kwa zaidi ya miaka 5, ikafika muda akataka aende home...
18 Reactions
100 Replies
10K Views
Na siku kadhaa.. naumwa Sijiskii vibaya kimwili.. sehemu za siri haziumwi wala kuskia dalili yoyote, yaani kiafya niko safi.. Shida inakuja.. kuna mda vinatoka vi ute kama usaha, havina harufu...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Jinsia Me: Miaka yangu 32, Elimu degree ya kwanza.Ninaishi Dar Kigamboni dini mkristo. Ajira binafsi Ninahitaji mpenzi/mchumba awe mkristo (muhimu sana) Miaka kuanzia 26-30 na mwenye shughuli ya...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kwa majina naitwa Naseeb ni mzaliwa wa Moshi Ila naishi Arusha kikazi, kabila ni Mrangi-mbena, miaka ni 28 na elimu ni bachelor holder..Nahitaji mwanamke wa kuoa awe mke kwani nimechoka kupoteza...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Ninahitaji mpenzi jinsia ya kike anayependa kampani na dating. Umri wangu 25 Dini Mkristo Elimu Degree Rangi Mweupe kihasi Urefu wastani Mwili mwembamba Sina ajira nabangaiza Naishi DSM/Kawe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello guys! Natafuta bint wa miaka 25-28, elimu form6 mpaka chuo, lengo ni kuanzisha uhusiano na mwishoe tuoane.. ila Moja ya mambo ambayo sipendi sana ni ngono za mara kwa mara.. naamini mapenzi...
8 Reactions
67 Replies
7K Views
Mm ni kijana 23 natafuta mwanamke amabaye Yuko na ndoto ya kupata mwanaume ambaye siku zote atakuwa anajivunia na anayejua thamani halisi ya upendo Vigezo educated angalau form six Hofu ya...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
HAbari zenu, Kichwa cha habari kinahusika, MImi ni binti 24years Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu. Sihitaji mtoto wangu binafsi Sihitaji Baba wa mtoto...
8 Reactions
108 Replies
10K Views
Habari za wakati huu wana-jukwaa, Nina imani mmekuwa na siku njema na mwaka mwema tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021. Tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU kwa Neema hii ya Uhai aliyoendelea...
6 Reactions
98 Replies
5K Views
Kama unamakasiriko usije hapa. Sitaki ushauri, Majukwa ya maadili na ibada yapo. Usinifundishe namna ya kubehave najielewa vyema. Ukinitukana nakuloga. Sasa skia.....Uhamisho wa kikazi unasumbua...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Karibu Sana wewe ambae unatamani kuoa na umekosa kabisa mwanamke binafsi najijua ni mke ambae ni mama . Naomba niweke vigezo vya mwanaume ambae nitaweza kumvumilia kwa chochote kitakachotokea...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama inavyojieleza Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 22 mpaka 25. Awe mwaminifu nimechoka kuumizwa.
1 Reactions
6 Replies
965 Views
Akiwa na mtoto au watoto amezaa ni vizuri. Akiwa aliachika katika ndoa na angalau alipewa taraka itapendeza zaidi. Asiwe chini ya miaka 35 na asifike 55. Dini yake yoyote aendelee nayo. Mi...
4 Reactions
42 Replies
6K Views
Back
Top Bottom