Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Vigezo awe amezaliwa MWAKA 1998, 1999 au2003 Vigezo vya jumla Uwe na mwili wa wastani Mzuri wa sura Wasifu wangu Umri 29 Mfanyabiashara Karibu PM
4 Reactions
13 Replies
665 Views
Sifa zangu: Mwanaume mwenye umri wa miaka 30, kabila maasai Degree ya Kwanzaa Muajiriwa sekta binafsi Mweusi, mrefu na mwili wa wastani Mkristo Sijawahi kuoa na Sina watoto Napenda jogging na...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
HIVI UNAWEZA KUMRUHUSU MKEO AKAFANYE KAZI BAR? TENA ANALALA HUKOHUKO WIKI NZIMA, IKIWA TU WEWE MME UMEFULIA KIFEDHA NA MNA MTOTO MDOGO. TOA MAONI YAKO.
2 Reactions
12 Replies
701 Views
Habari wakuu, About Umri wangu 25, location dar maeneo ya airport, nipo single sina mtoto, mrefu kiasi, mwembamba kiasi, sio mweupe au mweusi, na najitambua. mimi nime jiajiri kwenye masuala ya...
9 Reactions
68 Replies
2K Views
Hello Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume. Sifa zangu; Umri -37yrs Mtoto mmoja Mjasiliamali Mkristo- KKKT Sifa za...
22 Reactions
59 Replies
4K Views
Jina: Ismail Umri: Miaka 29 Uraia: Mtanzania (kwa sasa naishi Zambia) Kazi: Dereva wa magari makubwa, pia nina ujuzi wa kompyuta na teknolojia Dini: Muislamu Tabia: Mpole, mcha Mungu, muwazi...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Inatia ukakasi MTU ameshazeeka yupo 30s anakuja kutafuta pension sehemu ambayo hakuwahi kufanya kazi. Utasikia Mara ohhh nataka awe mchaMungu , Mara awe mrefu mwenye kipato Are you insane?
7 Reactions
35 Replies
1K Views
Kama kuna mtu amewahi kupata mwenza kupitia hili jukwaa alete ushuhuda hapa
11 Reactions
167 Replies
4K Views
Kanitumia hivi HAbari dada naitwaa f natafuta mke wakuoa awe umri kuanzia 22 mpaka 25 ., awe maji yakunde , mrefu wastani, asiwe mnene wala mwembamba sana . Awe anaishi dar , awe anafanya kazi...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat, ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba Kuanzia miaka 30,na...
18 Reactions
95 Replies
5K Views
nimehangaika Sana kutafuta mke mtaani ila sipati, nimekuja huku jf kuleta ombi langu natafuta mke awe mkristo miaka 25- 30 asiwe na mtoto awe tayari kupima , awe na upendo wa kweli, mimi na miaka...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu. Tafadhali husikeni na mada tajwa hapo juu. Natafuta mwanamke wa kufanya nae maisha. Awe mwenye hofu ya Mungu, anayejielewa na kuwa na focus ya maisha. Awe anapatikana kigoma...
0 Reactions
2 Replies
428 Views
Asalam Alaykum. Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa Sifa zangu Miaka 28 Mrefu Mwembamba Muajiriwa. Sina mtoto. Sifa za mwanamke naemuhitaji Muislam Anaevaa stara. Asiwe na mtoto...
1 Reactions
18 Replies
859 Views
Mimi ni Me 40yrs, nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano awe anapatikana Rukwa Sumbawanga. Karibu PM
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Natafuta mke aliye tayari aje dm .vigezo awe mcha mungu .mweupe mwenye shape nzuri asiwe mlevi
1 Reactions
8 Replies
756 Views
God over Everything Also God please give them hope patients and prisoners and to him nothing Imposssible. I'm 26 years old Muslim God fearing person Self-esteem Hard worker Government servant...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano.
4 Reactions
15 Replies
709 Views
Natafuta mchumba MWANAMKE awe Dar, wa mikoani hapana sina nauli ya kutuma. Vigezo 1. Awe amezaliwa wa kike na aambatanishe kadi na cheti cha kuzaliwa 2. Awe na elimu walau awe na D ya masomo ya...
2 Reactions
7 Replies
627 Views
Mimi ni mrefu futi 6.2 sina ajira nina kazi tu napambana. Ni mkristo na nampenda Yesu. Nina mwili mkubwa tu wa kutosha kuwa na ka kitambi kakufutia simu. Kwa kusema hivyo, 1. Nahitaji mwanamke...
3 Reactions
14 Replies
687 Views
Uwe mshangazi halisi sio wa kuchovya Uwe unajimudu mwenyewe na usiwe mtu wa nyeenyee sio kila siku wewe ni mtu wa kujiliza tu mara niongezee vocha mara gesi imeisha mara nchangie mjombaangu kafa...
7 Reactions
38 Replies
1K Views
Back
Top Bottom