Sifa zangu:
Mwanaume mwenye umri wa miaka 30, kabila maasai
Degree ya Kwanzaa
Muajiriwa sekta binafsi
Mweusi, mrefu na mwili wa wastani
Mkristo
Sijawahi kuoa na Sina watoto
Napenda jogging na...
HIVI UNAWEZA KUMRUHUSU MKEO AKAFANYE KAZI BAR? TENA ANALALA HUKOHUKO WIKI NZIMA, IKIWA TU WEWE MME UMEFULIA KIFEDHA NA MNA MTOTO MDOGO.
TOA MAONI YAKO.
Habari wakuu,
About
Umri wangu 25, location dar maeneo ya airport, nipo single sina mtoto, mrefu kiasi, mwembamba kiasi, sio mweupe au mweusi, na najitambua.
mimi nime jiajiri kwenye masuala ya...
Hello
Mwenzenu upweke utaniuaNatafuta mwanaume ambae tutenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -37yrs
Mtoto mmoja
Mjasiliamali
Mkristo- KKKT
Sifa za...
Jina: Ismail
Umri: Miaka 29
Uraia: Mtanzania (kwa sasa naishi Zambia)
Kazi: Dereva wa magari makubwa, pia nina ujuzi wa kompyuta na teknolojia
Dini: Muislamu
Tabia: Mpole, mcha Mungu, muwazi...
Inatia ukakasi MTU ameshazeeka yupo 30s anakuja kutafuta pension sehemu ambayo hakuwahi kufanya kazi.
Utasikia Mara ohhh nataka awe mchaMungu , Mara awe mrefu mwenye kipato
Are you insane?
Kanitumia hivi
HAbari dada naitwaa f natafuta mke wakuoa awe umri kuanzia 22 mpaka 25 ., awe maji yakunde , mrefu wastani, asiwe mnene wala mwembamba sana .
Awe anaishi dar , awe anafanya kazi...
Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat,
ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba
Kuanzia miaka 30,na...
nimehangaika Sana kutafuta mke mtaani ila sipati, nimekuja huku jf kuleta ombi langu natafuta mke awe mkristo miaka 25- 30 asiwe na mtoto
awe tayari kupima , awe na upendo wa kweli,
mimi na miaka...
Habari zenu ndugu.
Tafadhali husikeni na mada tajwa hapo juu.
Natafuta mwanamke wa kufanya nae maisha. Awe mwenye hofu ya Mungu, anayejielewa na kuwa na focus ya maisha.
Awe anapatikana kigoma...
Asalam Alaykum.
Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 28
Mrefu
Mwembamba
Muajiriwa.
Sina mtoto.
Sifa za mwanamke naemuhitaji
Muislam
Anaevaa stara.
Asiwe na mtoto...
God over Everything
Also God please give them hope patients and prisoners and to him nothing Imposssible.
I'm 26 years old
Muslim
God fearing person
Self-esteem
Hard worker
Government servant...
Natafuta mchumba MWANAMKE awe Dar, wa mikoani hapana sina nauli ya kutuma.
Vigezo
1. Awe amezaliwa wa kike na aambatanishe kadi na cheti cha kuzaliwa
2. Awe na elimu walau awe na D ya masomo ya...
Mimi ni mrefu futi 6.2 sina ajira nina kazi tu napambana. Ni mkristo na nampenda Yesu. Nina mwili mkubwa tu wa kutosha kuwa na ka kitambi kakufutia simu.
Kwa kusema hivyo,
1. Nahitaji mwanamke...
Uwe mshangazi halisi sio wa kuchovya
Uwe unajimudu mwenyewe na usiwe mtu wa nyeenyee sio kila siku wewe ni mtu wa kujiliza tu mara niongezee vocha mara gesi imeisha mara nchangie mjombaangu kafa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.