Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Sharti uwe na watoto kuanzia 3 kwenda mbeleeeeée. Ooh my god njoo pM
2 Reactions
25 Replies
299 Views
Wana jamii Forums hamjambo, hapa ni mahali pekee ambapo naweza kuongea kwa uwazi na bila kuficha chochote. Kuna muda nakuwa na mawazo nashindwa wapi pa kusemea. Iko hivi kwa sasa nina miaka 44...
28 Reactions
207 Replies
2K Views
Dear wife to be, "May this year 2026 bring countless blessings to both of us, with Allah's grace. I believe that with faith and love, nothing is impossible. In the journey of life, I hope that...
2 Reactions
3 Replies
211 Views
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more...
40 Reactions
511 Replies
18K Views
Nahitaji rafiki wa Kiume Umri kuanzia miaka 30-36 Asantee
6 Reactions
47 Replies
1K Views
Mimi ni mkristo umri miaka 30 natafuta rafiki wa kike ambae baadae anaweza kuwa mke wangu ila ajipime huko kwanza na awe tayari kuja kupima na mimi. Awe anajua kusoma na kuandika, mtoto moja...
0 Reactions
7 Replies
266 Views
Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto. Sifa zake Dini yoyote. Umri 25-35 Kabila lolote Rangi mweupe Elimu at least secondary education. Kazi yoyote descent Awe anaishi DSM Awe tayari kupima...
2 Reactions
14 Replies
870 Views
Habarini za maisha ndugu? Hongera kwa tulio wazima wa afya, pole kwa wanaoumwa na tunamuomba Mwenyezi Mungu awajaalie wapone na kurejea kuwa na afya njema. Kama kichwa cha uzi kilivyo hapo juu...
4 Reactions
49 Replies
5K Views
Mwanangu hata sijui uko wapi kama uko hai ama vipi, na haya masekeseke yaliyotokea , tuliachana ulikua kwenye harakati za uchimbaji madini mgodi wa mwime kahama ulikua unapambana kweli kutafuta...
6 Reactions
9 Replies
241 Views
Habari, mimi ni binti nina miaka 23, nimekuwa mpweke sana nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana naye mawazo, kupeana kampani n.k Sifa zangu. Najishughulisha Mpole Siyo muongeaji sana...
21 Reactions
203 Replies
6K Views
Huu ni ujumbe kwa mwanamke ambae kapimwa ni mzima lakini hashiki mimba,pengine mwanaume wake ana dosari basi aje mimi ntamsaidia,kwa masharti yafuatayo: 1.sihitaji malipo 2.baada ya kushika mimba...
5 Reactions
18 Replies
325 Views
Dini yangu Muslim Makazi dsm Mwanamke nimtakaye awe anaishi dar Asiwe mwanamke wa mambo mengi Asiwe na mtoto.
1 Reactions
8 Replies
169 Views
Hey people! I am a girl who is seriously searching for a man to imprenant me I mean to only make me pregnant cause I real need to have my own son or daughter at this age(24). So any handsome...
5 Reactions
88 Replies
9K Views
Habari wakuu Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa Sifa zangu Miaka 33 Kabila mchaga Dini Mkristo Sina mtoto Naishi Dsm Kazi Biashara SIfa za mwanaume Miaka 35 -45 Dini Mkristo...
34 Reactions
246 Replies
9K Views
Wanandoa mliofanikisha kupitia forum hii msitufanyie hivyo bana, tupeni mrejesho nasisi wengine tuchague wenyewe bila shurti kama tunazika au tunasafirisha
7 Reactions
102 Replies
4K Views
Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu
7 Reactions
46 Replies
544 Views
Umri wangu: 38 Jinsia: Dumesimba Kazi: Body builder Location: Dar es salaam Dini: Mbudha Sifa za binti naemtafuta Umri:16+ Jinsia: Jikeshupa Kazi: Yoyote Location: Popote
3 Reactions
18 Replies
863 Views
Habari za hapa wana jukwaaa!! nimeingia JF kwa lengo la kutafuta mwenza wa maisha, mimi naamini popote inawezekana kwa uwezo wa Mungu. Mimi ni mwanaume wa miaka 36 Mrefu - maji ya kunde Sio mnene...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Moyo wangu umeumia Sana jamani Niko down Sana Natafuta faraja tu Hata pm ,email . Karibuni
17 Reactions
144 Replies
4K Views
Awe kuanzia 25 mpaka 50. Mwenye biashara zake au kaajirawa. Dini yoyote, kabila yoyote. Mimi mfanyabiashara. Niko 50+ Karibuni warembo
5 Reactions
52 Replies
728 Views
Back
Top Bottom