Looking for a matured Christian man for long term relationship, then marriage
Above 40 years old
Should be reformed/born again Christian
Not smoking/not drinking/God fearing
Genuine men /with or...
Habari wanajukwaa! Mimi naamini mapenzi ya kweli hutakiwi kutumia nguvu nyingi kuyapata, ila pia naamini mapenzi ya kweli ni kupata wa kufanana nae ili usiwe unajieleza sana kwake. Kwa umri wangu...
Jina: John
Kazi: religious
Makazi: Dar na Zanzibar
Umri: 34
Natafuta mwanamke wa kuingia naye kwenye mahusiano akiwa na maisha yake itapendeza zaidi. Sijachagui dini, kabila, Wala rangi cha...
Natafuta mke mkristo, umri rejea kichwa cha habari hapo juu. Awe ameajiriwa au kujiajiri. Mcha Mungu anayeamini katika maisha ya upendo baina ya mke na mume. Mimi nina Elimu ya chuo kikuu na ni...
Asalam aleikum, kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kunipa uzima hakika ni faraja kupanda jukwaani kusema ya moyoni
Nahitaji mke wa kiislamu, sifa zingine ni za ziada nahitaji kuoa sasa kikubwa umri...
Habari Za Leo Ndugu Zangu.
Mimi ni Mwanaume
Natafuta MCHUMBA Ambaye baadaye Tunaweza Kuwa Mume na Mke.
SIFA ZANGU.
1. Elimu Chuo
2. Umri Miaka 28
3. Nimeajiriwa
SIFA ZA MCHUMBA
1. Awe...
Natafuta dada au mama mtumzima chini ya miaka 35. Aliejiajiri au kuajiriwa. Mwenye Elimu yoyote kuanzia la saba. Awe na mtoto au asiwe naye. Awe serious na maisha.
Mimi na miaka 40. Ni mkristo...
Hello! Nahitaj kupata mwanaume ambaye yuko tayar kuanza maisha ya ndoa, sifa zangu
1. Nina miaka 31
2. Mnene kiasi
3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu
4. Sina mtoto
5. Mweusi sio mrefu...
Natafuta dada au mama yeyote awe na watoto au la. Awe anajiheshimu na kujua majukumu ya kumtunza mme. Umri wowote mpaka miaka 35.
Awe anajiweza kiuchumi sitaki wakuja kulialia bila kuchangia...
Yaani tangu nihamie Dodoma 2019 nimekuwa mpweke sana, kama sio Madame B yule niliyejizoea wakati niko Dar 😔
Nikiamka asubuhi na kwenda kazini. Nikisharudi, kampani yangu ni Tv na games au simu...
Mimi ni kijana wa miaka 33 Naishi Mwanza ni mfanyabiashara wa kujitegemea, nipo hapa mbele yenu wanaJamii natafuta Mwanamke wa kuoa Kwa Mkataba.
Mimi ni mfanyabiashara, na nimejiunga na Chama...
Mimi natafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mke wangu . Sifa zake.
1. Asiwe na tatizo la kiafya la kudumu.
2. Awe amemaliza la Saba au sekondari au chuo au chuo kikuu.
3. Awe amejiajiri mwenyewe...
Nahitaji Mke aliye serious kuolewa.
Mimi nina miaka 36
Mkiristo.
Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu...
Natafuta mke, umri miaka 30 Hadi 40
Mkisto, mjasiriamali wa kati. Awe anaishi Dar.
Mimi ni mfanyabiashara naishi Dar. Umri wangu ni miaka 45. Nahitaji mwenye Elimu ya sekondari hadi chuo kikuu...
Mimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja.
Sifa za mwenzi...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha tangazo langu kisemavyo,nahitaji mume mkristo mwenye hofu ya Mungu.Awe na umri kuanzia miaka 34 na kuendelea,mkweli,muwazi na awe na shughuli halali kumpatia...
Mi ni mwanamke mrembo mwenye Utu sana,Msikivu,Mwenye Upendo,Mwanamke ambae nathamini sana Familia, mwanamke ninaependa Maendeleo, Mama wa mtoto mmoja
Miaka 34
Mfanyabiashara
Mkristo
Nina...
Hello
I am mom of 3 kids aged 33, Human Resource officer in a government entity
Looking for a divorced, widowed, or single man with age of 45-60 to build our family and enjoy our lifetime...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.