Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu. Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia...
40 Reactions
540 Replies
13K Views
Umri wangu ni Mika 45, mfanyakazi+ mkulima, natafuta mke mkristo. Mcha MUNGU, mwenye bidii
0 Reactions
2 Replies
232 Views
Wakubwa najua haiwahusu ila jana nimebadili dini rasimi na kua mwisilamu so nahisi naitaji marafiki wapya wanao elewa uislamu pls kama uko tiyali njoo inbox
2 Reactions
18 Replies
606 Views
Mimi ni mwanaume nina miaka 27 kwa sasa. Natafuta mwanamke wa kumuoa nimweke ndani kabisa niwe mumewe naye awe mke wangu. Sina elimu kubwa ila najua kusoma na kuandika. Nimepanga geto nalipa kodi...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu. Ndugu zangu mimi ni mwanaume, miaka 40 natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa mume ili kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufunga ndoa na kujenga familia bora...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Nahtaji mke wa maisha yangu age 28 nipo na nia kama upo 0652359199 awe mkiristo tuheshimiane Awe uelewa juu ya maisha akiwa na mtoto mmoja siyo mbaya
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Mimi NI mwanaume, natafuta rafiki wa kike wa online WA kubadiliahana mawazo, Stori na uzoefu pasipo kuonana wala kukutana.
13 Reactions
124 Replies
3K Views
🔥 awe 25-40 🔥Usiwe mke wa mtu 🔥Usiwe na kelele kama subwoofer 🔥Kabila haijalishi 🔥Napenda kula kwahio ajue kupika 🔥Chuchu nene 🔥Makalio manene 🔥Rangi sio shida 🔥asiwe mshamba kwa bed. 🔥hata ukiwa...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume. Muonekano wangu ni...
18 Reactions
120 Replies
4K Views
Habari wana JF Natafuta mwanamke mwenye heshima na upeo wa kiakili , na kimaisha ambaye yupo tayari kuishi maisha ya ndoa yenye upendo, heshima na furaha. Ndoto yangu ni kumpata mwanamke wa umri...
3 Reactions
4 Replies
407 Views
Yaani tangu nihamie Dodoma 2019 nimekuwa mpweke sana, kama sio Madame B yule niliyejizoea wakati niko Dar 😔 Nikiamka asubuhi na kwenda kazini. Nikisharudi, kampani yangu ni Tv na games au simu...
58 Reactions
319 Replies
11K Views
Napatikana Kakola(Kahama) umri wangu 32. Government Employed
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Kwa niaba ya wanaJF Leo ni bora nitoe la moyoni,mdada mwenye usingle wa mwili na roho kama mkaka mimi sizani kama itakuwa mbaya tukiunda joint yetu na kuanza safari mpya as couple au hata...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Mbona hamjawahi kuleta mrejesho ? Mkipata wenza jaman, mrudi kuleta feedback na wengine wahamasike
14 Reactions
130 Replies
4K Views
Habari, Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo 1. Mrefu mweusi, am very focused 2. Umri wangu 30 3. Graduate, Christian 4. Muajiriwa 5. Ninaishi Kilimanjaro Sifa za mwanamke nimtakaye 1. Uwe...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
💃🏻MDADA AWE: ♥️ Awe 18 - 40 ♥️Sijali kazi, hata kama akiwa mvivu haina shida nachotaka awe na degree ya mahaba ♥️Alifundwa usichanani ♥️Awe flexible katika tendo yani hadi kuruka kichura aweze...
11 Reactions
70 Replies
2K Views
natafuta mchumba wa kike awe na sifa zifuatazo ■ awe na umri kati ya miaka 22-25 ■ awe mwembamba kiasi mwenye shape ya kawaida ■ kabila lolote ■ Dini awe Muislam ■ Elimu kuanzia lasaba hadi form...
3 Reactions
8 Replies
863 Views
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
15 Reactions
178 Replies
35K Views
Mi ni mgeni huku, nimekuja kuanza maisha. Nahitaji mwanamke wa huku mbeya mjini kwa mahusiano endelevu. Nimekuja huku JF coz mi sio mtembeaji sana wala muongeaji. Muda mwingi nipo ndani...
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Back
Top Bottom