Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao.
Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda...
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa...
Wakuu habari, anahitajika binti umri miaka 18 Hadi 25, awe sunni, ibada Sala Tano ikiambatana na stara ya kisheria.. muoaji ni muajiriwa serikalini umri wake 28.
#0762922336
Ndugu zangu natafuta mke wakuoa sifa awe muislam elim yoyote awe mikoa jiran na arusha.umri kuanzia 21 mpaka 30.mim sifa zangu ni muislam umri 33 ninaish arusha nimejiajiri.aliyetayar karibu pm
Wakuu kwema
Mimi ni kijana umri Wa miaka 31
Elimu: Bachelor degree ya Computer Science
Kazi: Software developer
Nimeajiriwa
Tayari Nina Mtoto Mmoja Wa kiume.
Rangi Mweusi
Urefu 5.9
Dini Mkristo...
Nimekuwa msomaji mzuri sana wa JF hasa nikivutiwa na watu kadhaa wa humu ndani kama akina Sky Eclat , GuDume , Nucky Thompson , Salary Slip, Da'Vinci e.t.c
Hawa ni watu ambao nimekuwa kwa...
Tafadhali naomba nijielezee kwanza:
Jina langu naitwa mosses, dini yangu mkristo, mwili wangu wa kawaida wa kimazoezi na nina six pack, urefu wangu kawaida, rangi yangu maji ya kunde, uvaaji...
Dear jf members kheri ya mwaka mpya 2024 ...
Huu ni mwaka wa kihistoria katika maisha yangu ya hapa duniani ni mwaka ambao natarajia kufanya maamuzi magumu ya kufunga ndoa tukio ambalo nimeliwaza...
Nina miaka 55, mfupi 5 7, mfanyabiashara, naishi Dar, Nina watoto wakubwa, wanaishi kivyao na kwa mama yao.
Nahitaji mpenzi wa kike tupendane.
Maswali zaidi uliza inbox tafadhali
Nahitaji mtu mke atayekuwa mwenza wa maisha.
Sifa zake
1. Asiwe mpenda kujipodoa sana. Tafiti zinaonesha wanaojipodoa san asilimia kubwa ni wachepukaji.
2. Umri uwe kati ya miaka 23 na 28
3...
Waungwana kama kichwa cha somo kinavuojieleza hapo.
Mimi ni nipo Dodoma nahitaji mchumba umri 22-25.
Kwa aliye tayari karibu inbox tuyajenge zaidi.kipaumbele kwa walioko Dodoma sichaguwi dini...
Mwanaume
Naishi Dodoma kikazi.
Umri wangu 39.5
Watoto 2mapacha , mama yao alkwshaorewa
Dini:mkristo
Kazi:nmeajiriwa na serikali
Mweusi mimi sio sana
Nahitaji mke
Umri 25-35
Awe mweusi kidogo...
Mimi nipo Dar na nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenzi ya kweli.
Nipo Dar na umri wangu miaka 54 na umri wa mke usiZidi miaka 50 sina tatizo la dini wàla kabila.
Tuwasiliane kwa...
Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu...
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa...
Nina 30 years ,degree holder ,christian ,one child,,am still fighting for life (hustler) kama kuna mtu(mwanamke ) ambae ana 24-30 yrs dini yoyote ambaye atanifata nilipo (christian) njo tuoane...
Mimi ni kijana wa miaka 30, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja.
Sifa za mwenzi ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.