Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kichwa cha habari hapo juu cha husika. Maisha ya upweke ymenichosha hivyo nahitaji mwanamke wa kuishi nae maisha ya kumpendeza Mungu. Sifa kubwa awe na uhitaji wa mume kweli na pia awe mwanamke...
4 Reactions
115 Replies
1K Views
Sifa za baby wangu😅😅 nimtakae: Muislam Kuanzaia miaka 34 na kuendelea Mrefu wastani Mstaraabu na mcheshi Ukiwa na watoto sawa Aijue dini kiasi *Sifa zangu ni miaka 34, mweupe kiasi, nina mtoto...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ... Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta...
7 Reactions
95 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV! Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana. Awe sura...
19 Reactions
444 Replies
93K Views
Ndugu zangu hope mko poa.... mwenzenu natafuta mchumba wa kike😀😀 hapo nimeona niweke sawa maana kuna Vijana wa hovyo humu. Kama hapa yupo aje pm tuyajenge asante kwa kunisikiliza
5 Reactions
16 Replies
274 Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa late 30’s, mkristo kwa imani. ambaye kwa sasa nina mtoto mmoja, yupo shule na nakuwa nae kipindi cha likizo. Kiufupi naishi nae. Nafanya kazi katika sekta binafsi...
0 Reactions
1 Replies
180 Views
Mimi ni kijana mtanashati,,,Sina mambo mengi,,mpole,muelewa,mcheshi... Nahitaji RAFIKI WA kike umri wowote,,,KARIBU PM...tuyajenge
2 Reactions
9 Replies
469 Views
Kwakweli ukiwa hujaoa bado hujakamilika unakuwa upo nusu, duniani kuna jinsia mbili kwa maksudi kabisa, na ili maisha yaende yalivyopaswa ni lazima mwanaume aungane na mwanamke wawe kitu kimoja...
14 Reactions
156 Replies
1K Views
Seran Lamomy Fake P nakwede97 leo dada kazi kwenu changamkieni ndoa.
9 Reactions
58 Replies
535 Views
Natafuta mwanamke mwenye umbile la asili sio surgery awe na tako kubwa asiwe amejichubua awe mzuri wa sura na tabia njema Asiwe mzanaki, asiwe mvivu wa kufanya kazi Ajue kulea watoto Awe na...
2 Reactions
15 Replies
287 Views
  • Closed
Habari wanajamii, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa early 30’s, Mkristo, ambaye kwa sasa sina mtoto na sijawahi kuwa kwenye ndoa. Nafanya kazi kama muajiriwa katika sekta binafsi. Kwa ufupi kuhusu...
3 Reactions
12 Replies
400 Views
Mimi ni binti Single Mother miaka 36,natafta mme awe muaminifu, Namba ni 0625221348
7 Reactions
125 Replies
2K Views
Maana upendo ndio kila kitu,msidharau mwenzako ila mpende kwa raha na taabu.Ili tuweze kuwapa vijana moyo wa kuoa maana wanaona n kama watateseka.
1 Reactions
6 Replies
95 Views
I'm a man of 43 age On child Christian VIH + OWN BUSINESS SEARCHING SOME WOMAN OR GIRL TO MAKE FAMILY WRITE ME TO KANUMBAYVE@GMAIL.COM
0 Reactions
1 Replies
113 Views
1. mweupe kiasi si michubuko 2. umri kati ya miaka 25 hadi 30 3. Elimu ya kidato cha 4 mwisho cha 6 4. awe tayari kusimamia biashara 5. Asiwe na mtoto 6. utepe ni muhimu(code) wenye D mbili...
7 Reactions
66 Replies
1K Views
Natafuta binti bikra ili Mungu akijalia awe mke wangu. Vigezo Umri: miaka 21 hadi 26 Rangi: Mweupe Dini: Mkristo na mwenye hofu na Mungu Elimu:Chuo kikuu Ambae anajijua ni bikra au anamjua binti...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Mambo vipi jamani! Mimi ni binti miaka 24, natafuta mume awe mcha Mungu. Simu namba 0788894641
23 Reactions
148 Replies
12K Views
Nimepost hapa hapa, Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali! Je umezaliwa tarehe zifuatazo 👇 kama jibu ni 'Ndio' karibu tuunge urafiki? 👉 Mei 21 hadi 31, 👉 Juni 1 hadi 20, 👉 Novemba 22 hadi...
9 Reactions
368 Replies
2K Views
I’m 32, living in Dar and I’ve reached a point where I value peace, stability and supporting a partner’s ambition over following traditional marriage roles. I am collage educated with a small...
11 Reactions
66 Replies
823 Views
Back
Top Bottom