Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa...
Mimi bado nikijana, nina miaka 25
elimu yangu ni darasa la saba
ninajishugulisha na biashara (maduka) Tanzania na Zambia, ninatafuta mchumba awe na vigezo hivi
miaka 18/24,
Awe na hofu ya mungu...
Naitwa zaza, nina Miaka 23, nina makazi Mbeya, natafuta mke wa kuishi naye uchumba hadi ndoa. Umri asizidi miaka 25, hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu...
Habari! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, natafuta rafiki wa kike ambaye tutaoana kabisa.
Sifa:
Sichagui rangi cha msingi awe Mtanzania
Awe mrefu Kuanzia 5 feet tall
Sichagui kabila...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40, naishi Dodoma kwa sasa, kazi mjasiliamali, elimu kidato cha sita. Nnahitani mwanamke mwema mwenye umri miaka 24 hadi 32.
Elimu kuanzia kidato cha nne...
Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi...
Hello! Samahanini jaman mie naitwa ade am single and ntafurah sana kama ntampata ❤️my oxygen*... apa.
By the way;
naishi Dar es salaam,
Umri wangu n miaka 24,
Nina mtoto mmoja ila Bad luck baba...
Mimi ni kijana wa miaka 32;
~ Urefu 170 cm.
~ Kabila mchaga.
~ Elimu Shahada.
~ Single father.
~ Mfanyabiashara.
Mke awe na sifa;
~ Elimu kuanzia form 6.
~ Miaka mwisho 27.
~ Awe maji ya kunde.
Nina miaka 40+, elimu Shahada ya miaka 15 iliyopita. Nina shughuli zangu binafsi, naishi DSM, na wakati mwingine husafiri kwenye shughuli zangu za kikazi.
Nahitaji mwenzi ambaye kadri...
Wakuu wasalaaam,
Nautafuta mwanamke tuyajenge, tuzae tulee wanetu.
Umri wake awe kati 29-34, kama ana mtoto ni sawa tu ila mtoto asizidi mmoja.
Umri wangu ni 38.
Kwa taarifa zaidi karibu sana...
Hello! Good morning everyone, my name is Dorcass, age 30 years, single, I don't have kids.
I am looking for serious man later to be my husband. I need a person who loves himself and fear of God...
~ Uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45.
~ Uwe tayari kwa familia.
~ Usiwe mlokole au msabato.
~ Uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha.
~ Usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa...
Je, wewe ni mwanamke mrembo na siyo msichana. Umri wako unaanzia Miaka 31+, unatokea familia ya wacha Mungu? Una elimu ya wastani? Unajishughulisha kujiingizia kipato? Upo tayari kuishi nje ya...
Habari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa...
Nina miaka 28, nimemaliza advanced level, nina urefu(5' 3''), nina mwili wa kawaida, rangi yangu ni mweusi kidogo (sijui ndo maji kunde), nimejiajiri (-).
MWANAMKE
1. Urefu anizidi kidogo...
Mimi ni mwanaume wa miaka 38, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha.
Muonekano wangu.
Urefu- Mrefu Kiasi cm 173
Rangi- Mweusi.
-Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida)
Elimu yangu-...
Habari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili...
Sifa zangu ni mrefu wastani, rangi ni maji ya kunde, mkisto nasali Anglican, mpole na mwaminifu, umri 25.
Natafuta mchumba awe mkristo kama ni dini nyingine tutaongea, awe urefu wa wastani akiwa...
1. Mimi ni msichana wa Miaka 28, ninaishi Dar.
2. Nina mpenda na kumtukuza Mungu aliyehai, dhehebu langu ni KKKT.
3. Elimu yangu ni Degree na ninafanya kazi pia.
4. Napenda kufurahi, kujifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.