True Man11
Member
- Oct 14, 2022
- 79
- 109
Habari za majukumu,
Nimewah Kupost hapa kutafuta Mwenza lakini bado sijapata na naendelea kuwa mpweke wa mahusiano.
Mimi ni mwanaume wa miaka 35, mferu kiasi sio mnene sio mwembamba, nafanya biashara za kawaida na naishi maisha ya kawaida.
Najua kupenda na napenda kupendwa pia.
Nitafurah kupata Mwenza hapa, sichagui umri, dini wala kabila lakini cha muhimu awe anajitambua, smart na mkweli, nitafurahi Sana nikipata mke, lakini Kwa sasa nilivyo mpweke hata asiyetaka kuolewa tunaweza ungana tukawa pamoja.
Naomba Kwa aliye serious PM yangu ipo wazi karibu tufahamiane zaidi.
Nimewah Kupost hapa kutafuta Mwenza lakini bado sijapata na naendelea kuwa mpweke wa mahusiano.
Mimi ni mwanaume wa miaka 35, mferu kiasi sio mnene sio mwembamba, nafanya biashara za kawaida na naishi maisha ya kawaida.
Najua kupenda na napenda kupendwa pia.
Nitafurah kupata Mwenza hapa, sichagui umri, dini wala kabila lakini cha muhimu awe anajitambua, smart na mkweli, nitafurahi Sana nikipata mke, lakini Kwa sasa nilivyo mpweke hata asiyetaka kuolewa tunaweza ungana tukawa pamoja.
Naomba Kwa aliye serious PM yangu ipo wazi karibu tufahamiane zaidi.