Kijana wa kiume, umri 35, sina mtoto na sijawahi kuoa, niko single, najishughulisha na ufundi. Natafuta mwenza wa kike umri 28-34, awe anajishughulisha na shughuli yoyote halali, asiwe na mtoto.
Kimaisha bado napambana Kwa hiyo sihitaji mtu anayeangalia maslahi, nahitaji mtu aliye tayari kupambana pamoja nami katika maisha. Kwa aliye tayari njoo PM.
Kimaisha bado napambana Kwa hiyo sihitaji mtu anayeangalia maslahi, nahitaji mtu aliye tayari kupambana pamoja nami katika maisha. Kwa aliye tayari njoo PM.