Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Awe mkristu mwenye hofu ya MUNGU.
2. Umri usiozidi miaka 25.
3. Mweupe, mwenye umbo la wastani (average), mrefu wastani
4. Elimu kuanzia form 6 na...
Kwa wamama na wadada ambao ni above 18 mpaka 60...
ambao wana interest na male company for fun na weekend gateways..
pm please....
napenda kusafiri around east africa na starehe zaidi...no...
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 31 kabila langu ni mchagga natafuta mwanamke wa kuoa awe kati ya miaka 22-25 awe na elimu ya chuo, awe mkisto anayemjua Mungu.Kwa yoyote yule ambaye anadhani...
Mm n mwanaume mwenye umri wa miaka 30 natafuta mwanamke mwenye umri wa miaka 35 na kuendelea ila awe mnene mrefu na mimi nh mrefu mwembamba kama atapatkana na atakua serious antafute kupitia...
1. Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa:
1.Mkristo.
2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Husiwe ushatowa mimba.
3. Huwe na upendo wa dhati.
4. Education level...
Hi JF member am here looking for real wife or soul mate; Am cool handsome boy, calm altitude , cheerful , like having fun with my partner, 183cm tall. well educated own a degree,
I would...
jamani wapenda na wadau wote wa JF! Jambo moja hunitatiza! hiv kweli kabisa mtu aweza pata mwenzi wa maisha humu au kupitia JF? mimi na naamini wapo wengine wengi tu kama mimi wanaohitaji wenza...
Namtafuta binti wa kuoa, nina miaka 29,dini RC,kabila mhaya,elimu kwasasa nasoma masters. Mlengwa,elimu kuanzia diploma,asiwe na mtoto,dini siwe muislamu.Alieye tayari anaweza kuni PM au ani sms...
Nina miaka 26 na elimuyangu niliishia form II kazi yangu machinga
natafuta mchumba.
-mwenye mwili wa kati si menene sana na si mwemba sana
-awe mkristo
-awe mwenyenia ya thati kuwa na mtu
Umri wangu miaka 22, ni mwanafunzi wa chuo kikuu, ni mrefu, handsome na black wa kawaida nko serious jamani yoyote ambaye ana sifa zifuatazo aniPM; awe mwembamba wa kati,awe tayari kupima...
napenda funny comments zafanya siku yangu iwe njema,, sitafuti mchumba wala mume wala mpenzi,, ila napenda kupata rafiki wa kucheka nae tuuuu,,,, cheeers!!!
Ahmedy Quasim ni jina langu, umri 21 yrs, naishi Moshi Mjini, wasifu wangu; urefu 5.6ft, ni mwili wangu wa wastani, ni mweusi, kiini cha jicho cheusi, mtanzania, muislam. Vitu ninavyo pendelea...
habari jf,
mimi ni kijana wa mwenye miaka 26, natafuta mchumba wa kike ambae nitakuja kuishi nae baadae kama mume na mke
Ni mwanafunzi uhandisi wa mawasiliano(finalist), mkristo. Ni mrefu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.