bado natafuta muhogo

mmh! muhogo vs tango kazi kwelikweli vipi kuhusi karoti

aah..... napita tu nitarudi baadae
 
Mpendwa, mihogo, matango, karoti, miwa , ndizi na vinginevyo vina wadudu siku hizi, uvile kwa kuviosha teha jiki au Omo, katu usile peku peku madonda yej kukutoka, raha uisahau
 
Njoo Mkuranga Mihogo ipo ya kumwaga.Lakini sijaua unataka muhogo wa aina gani?Mchungo,mtamu au wa jangombe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom