Wadau mtakumbuka siku chache zilizopita nilileta hapa ombi langu la kutafuta mchumba wa kike aliye-tayari na aliye serious, sasa nasikitika kuwa hadi sasa sijampata ila kufuatia tangazo lile hiki...
Natamani kuwa na mrembo wa kishare naye shida na raha. Awe tayari kupima HIV, awe na kazi yake maana kibarua changu kamshahara kadogo sana japo si kama nataka anilee bali asitarajie makubwa toka...
YES!
Kwa msichana anaye hitaji mapenzi ya dhati,upendo wa kweli,na mwenye ndoto za kuwa na mwanaume bora na mwenye huruma,hekima,mcheshi,mkweli,mkalimu,masikini,na mwenye ndoto za kuolewa.basi...
Naitwa anthony wambura mzaliwa wa wilaya ya tarime,mara ninategemea kumaliza kidato cha sita mwezi wa tano mwaka huu kiukweli nimetokea kupenda jeshi toka nikiwa mtoto mdogo baada ya kumaliza...
Natafuta girlfriend ambaye atakuwa mke wangu mtarajiwa, kiufupi awe na size yoyote ila asiwe mfupi sana wala mnene sana, rangi yoyote, sichagui dini wala kabila, umri kuanzia 18-23. Ikiwa...
Habari wana jf
Mimi kijana wa miaka 27 naishi dsm na nimeajiriwa na kampuni moja ya ujenzi.
Natafuta mwanamke wa kuoa kwa sasa umri wake usiwe chini ya miaka 20,haijalishi km ameajiriwa au la as...
:A S 100:Naitwa ...........
ninamiaka 27, ni-naelimu ya stashada(Ordinary diploma) ktk field ya engineering.
natafuta msichana/mwanamke
sitamkagua vyeti kujua ana elimu kiasi gani bt uelewa...
Mi ni mvulana wa 26yrs,urefu futi 5.5,ni Muslim, Elimu Bachelor,nimfanya kazi na naishi Dsm,
Natafuta mke half caste mweny elimu ya kidato cha 4 au 6,
Urefu atleast futi 5.4 - 5.6, awe...
Natafuta msichana wa kuwa mchumba wangu then tukifikia muafaka nitamuoa
Umri 18-25
Mrefu
Black beauty
Elimu angalau form four
Tabia nzuri
Contacts me soon
Habarini wadau wa jukwaa hili pendwa, napenda kutumia fursa hii kwanza kuwajulisha kuwa mi ni mgeni au unaweza sema kuwa ni mpya katika jukwaa hili
Jamani kama kichwa cha habari hapo juu, natafuta...
Nahitaji marafiki wa kike ambao ni single wenye muono wa kimaisha,no matter mwanfunzi wa chuo,biashara au mfanya kazi ila wawe watumiajia wa whatsapp...pm me.
Mimi ni kijana wa miaka 35, Nimejiajiri, na nayamudu maisha yangu.
Kipato changu ni cha wastani na nashukuru maisha yangu si mabaya.
Natafuta mwanamke mwenye umri huo, mwenye moyo mpweke...
Mi ni kijana mtanashati umri wangu ni miaka 26 natafuta mchumba wa kuoa umri mwisho miaka 25 kushuka chini sifa kuu heshima,upendo,huruma na uvumilivu pamoja na umbo namba 8 mwenye sifa hzo...
Je wewe ni mdada mkristo, uliye tayari kupima UKIMWI, hata kama una mtoto asizid mmoja, umbo MNENE KIASI na unaishi Dar es Salaam. Kama ndivyo basi ni-PM nikuunganishe na kaka wa miaka 35...
mm ni mvulana wa miaka 24,naitaji girfriend ambaye cku za uson awe wife.Maelezo zaid 2kutane on 0767_877 421 au 0659_443 320.
Kaz kwenu wadada cfa-: _maj ya kunde au wait co mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.