Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za majukumu ndugu zangu,mim naitwa ELIFURAHA ni mwanaume wa miaka 27, Elimu ya shahada (degree) bado sijapata kazi, Mchaga,mrefu,mweusi maji ya kunde,mkristo safi(lutherani), Nipo Dar...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Je wewe ni msichana mrembo? Una umri wa miaka 24-30. Je wewe ni mcha mungu? Kama unajiamini tuwasiliane kwa wandwib@yahoo. Com. Nipo serious mimi ni mwalimu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za majukumu ndugu zangu wana jf,mim naitwa ELIFURAHA ni mwanaume mwenye elimu ya chuo (degree) bado natafuta ajira ya kudumu,ninaumri wa miaka 27 yrs nw,ni mrefu na mweusi wa maji ya...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nahitaji mchumba kutoka Zanzibar
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Seriously lookin for a aged girl 20-28 yrs teacher, anaweza kuwa mwalimu wa primari au sekondari kikubwa awe na uelewa mkubwa na mwenye uwezo wa kukatua matatizo, pia awe mwenye uchungu na maisha...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kabila langu ni mhaya.elimu chuo kikuu,ninafanya kazi na kuishi zanzibar ,Natafuta mwanamke aliyetayari kuwa mke mwenza,awe na sifa zifuatazo; 1.Awe...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari zenu Wana-Jf! Natafuta rafiki wa kike kuanzia miaka 24-26. Sifa: awe tiyari tuanzishe familia Mungu akipenda! Tuwasiliane kupitia PM
0 Reactions
4 Replies
978 Views
Hi! Wewe ni binti mrembo na upo Dar? Basi fursa imekuangukia leo ya kupata kijana mtanashati kwa ajili ya sex partnership. Kwa wenye sifa zifuatazo ndio watapewa kipaumbele: 1. Umri uwe...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Nimekuwa nikiona au kusoma post za wana JF mara natafuta mchumba mara natafuta sugar mamii mara natafuta msichana wa kuoa anaejitambua hivi uwa mnapata kabisa na mnafikia malengo ya kuoana nitoeni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hallow wana JF Najitokeza kwa mara kwanza hapa JF kutafuta rafiki wa kike ambae baadae atakuwa mke wangu,mimi nina sifa hizi -umri wangu ni miaka 35 -urefu ni cm 168 -siyo mwemba siyo mnene ni...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume naishi Arusha, najitokeza kutafuta mchumba wa kike(mke) ambaye yupo kwenye mikoa tajwa hapo juu(arusha, moshi na manyara) ili tuweze kuonana kwa urahisi. SIFA ZANGU...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hodi tena kwa mara nyingine wapendwa mimi ni mama wa mtoto mmoja ana 10 yrs na mimi nina 42 ninahitaji mtu wa kuwa nae kama mume awe nae labda ana mtoto angalao mmoja ili tuanzishe familia awe...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae(miaka 18-21)
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu!! Leo nimeamua kuandika kilichopo katika ndoto yangu katika swala zima la mahusiano.. Kila mtu amekuwa na ndoto au aina fulani hiv ya mtu ambaye angependa kuwa nawe katika...
6 Reactions
75 Replies
8K Views
SINA VIGEZO VINGI SANA ZAIDi tu AWE MZURI WA SURA,UMBO NA TABIA .THEN NICHECK.under 23yrs
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba uwe rafiki yangu haijalishi umri,kabila,dini,jinsia wala mahali ulipo mimi nitaanza kukupa wewe faida ya urafiki wetu ni check whats up 0759 83 93 10. KARIBU SANA
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kinadada wanaoweka matangazo ya kutaka waume kila nikiwafata PM wanaleta pozi,sasa najitokeza rasmi,sichagui dini,rangi,umri wala kabila. Mdada anayetafuta mwanaume seriously aniPM.mi ni mnene...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kike mhindi au mwarabu. Ni pm, nipo Dar
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu fani ya sociology miaka 2 iliyopita, jinsia ni mwanaume, sijabahatika kupata ajira bado. Nafafuta mwanamke atakaye kuwa mchumba na baadae mke mwenye vigezo...
0 Reactions
66 Replies
5K Views
Habari zenu!nina miaka 45,natafuta mke;awe na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea na awe tayari kuanza maisha ya ndoa.KARIBU
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom