Natafuta rafiki mwanajeshi

Natafuta rafiki mwanajeshi

Anthony Threedeyea

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
471
Reaction score
48
Naitwa anthony wambura mzaliwa wa wilaya ya tarime,mara ninategemea kumaliza kidato cha sita mwezi wa tano mwaka huu kiukweli nimetokea kupenda jeshi toka nikiwa mtoto mdogo baada ya kumaliza kidato cha nne niligoma kuendelea na high school ili nijiunge na jeshi uamuzi wangu ulileta mgogoro nyumbani ikabidi nihairishe nikaenda miaka miwili kidato cha tano na sita...ila kwa sasa sitaki kuendelea na chuo kikuu nataka niende jeshi kwanza kwani hizi ndoto zimeutesa moyo wangu sana...naomba mniunge mkono wakuu ingawa nyumbani wamenisaliti kwa kushindwa kunionyesha ushirikiano.


Nawasilisha.....
 
Dogo nenda chuo kwanza,then jeshi utafurahia maisha,kinyume na hapo utatabika na form 6 yako,ni ushauri tu......
 
tata unajua kutembea kwa kutumia ulimi?...unavuta bangi?..unaweza kuua ng'ombe bila silaha if yes welcome
 
Endelea na chuo wewe, jeshi lipo tuu hata baada ya miaka milioni moja
 
kwa hapa utasubiri sana fata hatua staiki utafanikiwa acha kupoteza muda wako huku labda kama umeleta porojo tuuu
 
nahofia naweza kupoteza muda nimeskia watu wanasema ajira unapata kwa kujuana..bora nitimize ndoto zangu nisije kwama...
 
Funguka tuu, kwani bangi ina makosa gani?

Tatizo wasioijua bangi wanaitafsiri vibaya sana
 
jamii forum inahusisha watu wenye uelewa tofauti na fani mbalimbali nikaona nilete ili wazo kama mtu analeta utani basi sawa.
 
kuna mura mwingine alikuwa anasema, hapa duniani kuna kazi mbili tu, ya gesi na ya ubholisi

kila la kheri utapata
 
Nipm tuongee faragha kuna kitu nataka nikushauri maana unakoelekea sijui wapi.
 
Unataka jeshi gani mura siku hizi kuna majeshi mengi kama tra.crdb.nssf.nbc nk
 
b:
531701_491573420880357_58898691_n.jpg
 
Naitwa anthony wambura mzaliwa wa wilaya ya tarime,mara ninategemea kumaliza kidato cha sita mwezi wa tano mwaka huu kiukweli nimetokea kupenda jeshi toka nikiwa mtoto mdogo baada ya kumaliza kidato cha nne niligoma kuendelea na high school ili nijiunge na jeshi uamuzi wangu ulileta mgogoro nyumbani ikabidi nihairishe nikaenda miaka miwili kidato cha tano na sita...ila kwa sasa sitaki kuendelea na chuo kikuu nataka niende jeshi kwanza kwani hizi ndoto zimeutesa moyo wangu sana...naomba mniunge mkono wakuu ingawa nyumbani wamenisaliti kwa kushindwa kunionyesha ushirikiano.


Nawasilisha.....
Rafiki wa kike au wa kiume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom