dogojanja 87
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 882
- 213
Kinadada wanaoweka matangazo ya kutaka waume kila nikiwafata PM wanaleta pozi,sasa najitokeza rasmi,sichagui dini,rangi,umri wala kabila.
Mdada anayetafuta mwanaume seriously aniPM.mi ni mnene kiasi,mweupe,nina 1 pack (kitambi) kidogo tu cha kutunzia heshima mjini,mchangamfu hakika ukiwa na mimi utakua mwenye furaha masaa yote japo kipato changu sio kikubwa sana (middle class) .
sifa nyingine kedekede ntamtumia picha ataekua serious af atawasimulia.
Bila kupoteza muda nawasubiri PM
Mdada anayetafuta mwanaume seriously aniPM.mi ni mnene kiasi,mweupe,nina 1 pack (kitambi) kidogo tu cha kutunzia heshima mjini,mchangamfu hakika ukiwa na mimi utakua mwenye furaha masaa yote japo kipato changu sio kikubwa sana (middle class) .
sifa nyingine kedekede ntamtumia picha ataekua serious af atawasimulia.
Bila kupoteza muda nawasubiri PM