Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wana Jf, Mimi ni kijana wa kiume, Nina miaka 28, naishi Dodoma! kabila langu ni msukuma, nina elimu ya chuo Kikuu na pia nimeajiriwa! Natafuta mpenzi/ mchumba mwenye sifa zifuatazo; umri 21...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Mimi ni kijana ninaeishi arusha na ni mwajiriwa wa serikalini, najitokeza kwa mara ya pili kutafuta mwanamke ambaye tutaanza maisha na kuwa kama mke na mume; sifazangu elim...............cho kikuu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi wasifu wangu ni kama ifuatavyo -umri wangu miaka 34 -ni mwembamba, mweusi na mrefu wastani -elimu yangu ni shahada ya kwanza -nimejiajiri mwenyewe. - mkristo naishi Dar Natafuta mdada...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
mi nipo hapahapa moro,ni handsome 24 years na i wish to have mtoto mmoja wa kike mzuri umri kuanzia miaka 18-24 wa hapa hapa tufahamiane tukipendana tuwe wapenzi,aliye seriouz ani pm tufahamiane...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Mimi nimekuja kweni kwa wale wajane waliofiwa na waume zao njooni Pm tupeane mikakati ya maisha ila narudia ni kwa wajane tu
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Mie ni kijana wa miaka ishirini therathini sas, natafuta mwanamke mtu mzima tufanye maisha, ninaishi mwanza na nina elimu nzuri na pia kazi . yoyote mwenye sifa hizo tuwasiliane kupitia namba...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Nategemea kutoka nje ya nchi, kama kuna mrembo yeyote aliefunga chuo anataka kula bata likizo ani PM. Awe na passport na mrembo, mweupe au maji ya kunde
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani mwenzenu upweke umenichosha, natafuta mwenza wa kuishi nae. Ni mama wa watoto wawili, umri wangu miaka 36, elimu yangu ni shahada ya uzamili, muislamu na ni muajiriwa wa serikali...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu zooote za miaka kadhaa nddani ya JF nilikuwa najiona mwenyeji kumbe kuna chocho sijawahi kuingia, sasa leo nilikuwa sina hili wala lile na sioni thread ya kuvutia nikaingia...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Naishi mwanza elimu yangu ni chuokikuu natafuta msichana mrembo na msafi awe na umri kati ya miaka 18-24 alieenda shule lakini pia awe ni mtoto wa kitajiri mkristo tuma ujumbe na picha via...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari, Niko Sweden ; na ningependa kupata msichana mstaarabu, mwenye kujitambua na mwenye empathy na maisha, awe hapa Sweden ama karibu tu na Sweden as long as tukiridhiana nitashukuru na pia...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Kila siku naona matangazo ya kutafuta mchumba ! Je kuna waliowahi kufanikiwa kumpata atakaye?? Je waliwahi kuleta shuhuda humu na kuishukuru JF love connect! Hebu fungukeni....
2 Reactions
6 Replies
2K Views
hi gri
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Independent divorced mom wondering if there could be a second chance in life, if you are 35 and above, independent single dad believing there could be second chance in life and you are...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mchumba alie siriaz anatafutwa.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Natafuta msichana mrembo awe mchumbana twende kwenye ndoa. Sifa. Awe mrembo. Rangi yeyote. Asiwe mfupi sana. Awe na elimu kuanzia form four mpaka chuo kikuu. Awe mkristo kama ni Muislam...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta msichana anaehitaja mume wa kumuoa uzuri kwangu si kitu tabia ndio nikipendacho
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta marafik kutoka mikoa tajwa hapo juu kwakua nimeamia mara kikazi kama upo huko unaweza kuni pm,asante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom