Nahitaji mchumba kutoka Zanzibar
Nahitaji mchumba kutoka Zanzibar
Hata mti nao mchumba!! Nyoosha maelezo eboh!
sasa matangazo hayo si ukabandike mwanakwelekwe na chukwan??
au mchamba wima kabisa!.. lols..
why zanzibar lakini?
au aende akabandike kwenye vituo vya nchomeke dole na uzin hapo atawapata wengi ndipo wanaposhukia