Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Closed
Nina elimu ya chuo kikuu, natafuta mchumba atakayekuja badae kuwa mume.., SIFA: Napenda mwanaume atakayenipa furaha, faraja na upendo wa kweli; ni pm uone picha zangu. Ila kwa kifupi mimi ni...
5 Reactions
72 Replies
23K Views
Si utani nahitaji mchumba ili tuje kufunga nae ndoa. Awe na tabia nzuri na awe na imani ya dini. mawasiliano 0683386401 & idrisamustapha03@gmail.com
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuhusu mimi mm NI MVULANA nina miaka 26 nimemaliza chuo kikuu mwaka jana bado sijaajiriwa nahitaji marafiki wa kike tu wa kuchati popote walipo tanzania. Sifa za marafiki wa kike ninao...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ka uko A Town tusomane natafuta kiukweli demu wa kusukuma naye siku ili maisha yaendelee sina option yoyote 4 now kuwa nitafanya nini baadaye but now ni kula gud tym tu :D:D:D:D:D
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina umri wa miaka 28, mtumishi wa serikali katika wizara fulani hapa Dar, urefu wangu 175-180cm, unene 75kg. elimu yangu degree holder, sura yangu maji ya kunde. Napendelea kuwatch football na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kuhusu mm UMRI;25 DINI;muislamu ELIMU;chuo kikuu MAKAZI; zanzibar NATAFUTA M/ke mwenye sifa zufuatazo; umri;18-22 DINI;muislamu ELIMU; darasa la 7 na kuendelea(elimu ya dini muhimu zaidi)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kuke aliyejua nini maana ya maisha na tutaweza kuanza pamoja 0659389778 napatikana hapa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Asalam alaykum wana jf nimejitokeza jamvini kutafuta mwenza alieserious umri.kuanzia 20- 45 awe.muislamu kabila lolote vizur kama atakuwa anaishi zanzibar contact 0773584154 or alikhamis151@gmail.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Awe na umri18-22, Mwembamba mweusi , ambaye baadaye twaweza kuwa wachumbaail.com[/email]
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Kwa jina naitwa Kontelo, Nina miaka 27. Nimemaliza form 6 mwaka jana kwa bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri sikuweza kuendelea na chuo, bado nipo mtaani najishuulisha na kazi ndogo ndogo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni msichana wa miaka 27 nina mtoto natafuta mume nimechoka kuumizwa
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nimemaliza chuo mwaka huu na nimeshapata kazi tayari. Naomba dada mwenye umri wa chini ya miaka 25 aliyetayari kuolewa na anajijuwa ni mzuri awasiliane nami kupitia chandesamwely@gmail.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni mwanaume, nina miaka 37, nina watoto wawili, niliwapata katika mizunguko ya maisha, ninaishi nao. Nilipanga kuwa na watoto wawili tu katika maisha yangu. Kwa sababu hii...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
niko serios nahitaji binti mweupe ,mrefu kiasi,mnene kiasi muajiriwa au amejiajiri kwa uhusiano wa kudumu,mimi ni mrefu kiasi , mwembamba kiasi,muajiriwa,maji ya kunde aliyetayari call me through...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yeyote alie tayari umri mpaka miaka 32 njoo tuwe marafiki.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sifa zangu:mwaminifu,mchamungu,mvumilivu na msikivu,msafi,mtafutaj pesa wa kufa na kupona.mcheshi,kujali na kubembeleza kwa namna ya kipekee.napenda kudekewa.. umri;26...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Kwa sasa mimi ni kijana nina miaka 22 na hitaji mchumba ambaye tutaishi kipindi cha uchumba kuanzia sasa mpaka mwaka 2018 upweke umezidi kwa kweli.Mwaka 2018 nahisi nitakuwa nimemaliza kusoma na...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Naomba uwe rafiki yangu haijalishi umri,kabila,dini,jinsia wala mahali ulipo facebook= Babu wa ki digital wasap= 0763500480
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitwa Idrissa wa lindi natafuta msichana mwenye age ya 18----> 22 awe mchumbaangu maongezi zaidi ni tafute 0655555508 au 0657949111
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Mimi naishi moshi na nahitaji misichana/mwanamke atakayekuwa rafiki yangu Sifa napendelea awe na Umri kuanzia miaka 30 kwani Umri wangu ni zaidi ya hapo awe anajishulisha (muajiriwa au...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom