ELIFURAHA MAKOMBE
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 176
- 22
Habari za majukumu ndugu zangu,mim naitwa ELIFURAHA ni mwanaume wa miaka 27,
Elimu ya shahada (degree) bado sijapata kazi,
Mchaga,mrefu,mweusi maji ya kunde,mkristo safi(lutherani),
Nipo Dar kwa sasa
Nahitaji mke mtarajiwa:
Awe na elimu ya stashahada na kuendelea,
Awe mrefu kiasi,mwenye kujiheshimu,
Awe tayari kucheki afya,mweupe kiasi asiye wakujicream,
Mnene kiasi,akubali kufata imani ya dini yngu,
Kabila litategemea mila na desturi za pande mbili(yangu na yake),
Vigezo vingine tutapeana.
May GOD be with us.
AMENI.
contact: 0715 406010
elly.makombe@gmail.com
Nipo serious,naomba ushirikiano ndugu zangu.
Elimu ya shahada (degree) bado sijapata kazi,
Mchaga,mrefu,mweusi maji ya kunde,mkristo safi(lutherani),
Nipo Dar kwa sasa
Nahitaji mke mtarajiwa:
Awe na elimu ya stashahada na kuendelea,
Awe mrefu kiasi,mwenye kujiheshimu,
Awe tayari kucheki afya,mweupe kiasi asiye wakujicream,
Mnene kiasi,akubali kufata imani ya dini yngu,
Kabila litategemea mila na desturi za pande mbili(yangu na yake),
Vigezo vingine tutapeana.
May GOD be with us.
AMENI.
contact: 0715 406010
elly.makombe@gmail.com
Nipo serious,naomba ushirikiano ndugu zangu.