natafuta mchumba seriously guyz...anicheck knye 0719165399
natafuta mchumba seriously guyz...anicheck knye 0719165399
duu!ndo we sista wa mikwanjaa!subiri mabosi watakufata,manake we nouma siku moja ya uchumba ushaomba laki,duu!
Ni hatarii hii najua c muda hii namba utaifunga make zitapigwa simu nyingi ila hautapata ata mmoja! Kamwombe mungu for one uwe na maombi ya sirias ata kuja mchumba but utaelekezwa sehemu sahihi pa kukutan na mwenzio km ni hapa jf basi utarudi. Usipuuze fanya maombi ya ukweli ikibidi ufunge.
dume hilo fanya kama unamtumia hela kwa tigo pesa...