BABA WA IMAN
Member
- Jun 23, 2014
- 55
- 7
Namwitaj xana rafki wa kike. umr miaka 17 had 25 ' Awe na uwezo wa kunipa ushaur kuhusu life yangu-
Subiri watakuja.
Pia kumbuka msemo huu " kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo, tena siku hizi na mijusi pia"
mmm!
Unahitaji ushauri kutoka kwa binti wa miaka 17, haya Serengeti boy kila laheri....
Karibu rafiki, ila ujue urafiki una vigarama vyake ha vocha unanitumia mara moja moja sawa?mimi nakutaka wewe uwe rafiki yangu
Namwitaj xana rafki wa kike. umr miaka 17 had 25 ' Awe na uwezo wa kunipa ushaur kuhusu life yangu-