Natafuta rafiki wa kike hapa JF

Natafuta rafiki wa kike hapa JF

Mnyakilambo7

Member
Joined
Oct 15, 2014
Posts
63
Reaction score
27
Iam 21 years old, natafuta rafiki wa kchat nae, kubadilishana nae mawazo, umri wowote tu
Kama upo tayari ni PM namba yako.

Karibu.
 
Aisee huo umri ungetafuta wanafunzi wenzio huko shuleni lakini humu utaperepetwa buree
 
Nadhan nimeeleza vzur hapo juu.......kuhusu mapenz, cyafanyi kwa sasa, npo busy kdg na xcul nkimaliza, I'll think of it !

Huku hakuna size yako tafuta shule ya kata iliyo karibu na nyumbani kwenu nenda kidato chapili ujitwalie kabinti ulee hadi kaive kwa matumizi ya nyumbani maan awengi humu ni mama zako!
 
Huku hakuna size yako tafuta shule ya kata iliyo karibu na nyumbani kwenu nenda kidato chapili ujitwalie kabinti ulee hadi kaive kwa matumizi ya nyumbani maan awengi humu ni mama zako!

Hahaaaaah, co kwel aixee!!
...au nianze na ww mwnyew !!!
 
Huku hakuna size yako tafuta shule ya kata iliyo karibu na nyumbani kwenu nenda kidato chapili ujitwalie kabinti ulee hadi kaive kwa matumizi ya nyumbani maan awengi humu ni mama zako!

f*ck you achen mawazo ya kishenzi,ndyo nyinyi msio na mbele wala nyuma kazi kusubili baba ako afe uanze kugombania boda boda yenu,mtu anajieleza unaanza kumkatisha tamaa,kwani wameweka limt humu,moda faka ww
 
f*ck you achen mawazo ya kishenzi,ndyo nyinyi msio na mbele wala nyuma kazi kusubili baba ako afe uanze kugombania boda boda yenu,mtu anajieleza unaanza kumkatisha tamaa,kwani wameweka limt humu,moda faka ww

Asante mwanangu kwa kunitusi kimombo.... nakuombea ufike umri wangu upate mwanao akutukane kama ulivyonitusi pia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom