Mimi ni mkazi wa Ubungo-Dar es salaam kutokana na majukumu mengi niliyonayo nakosa hadi muda wa kutafuta mwanamke hivyo nahitaji mdada mzuri wa kuwanae na nikiridhika nae basi nitamuoa kabisa,umri usizidi miaka 28,umri wangu ni 30yrs.Kwa aliye serious anaweza kuni PM
Asanteni
Asanteni