Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Benny marando

Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15
Reaction score
1
Mimi nikijana mwenye miaka 22 ninatafuta mchumba wa kunipenda kwa dhati nasiyo kuniumiza namba yangu ni 0757042257
 
asa unatafuta wapi mbona hatukuoni mtaani kusakanya the so called wachumba!kila la kheri kama unatafuta kwa style hii.
 
mimi nikijana mwenye miaka 22 ninatafuta mchumba wa kunipenda kwa dhati nacyo kuniumiza namba yangu ni 0757042257

junior members mna mambo! Haya bwana lakini hii post kwake ni kule love connect, halafu huyo umtakaye wewe labda uumbe wako mwenyewe lakini hawa vitukuu na vilembwe wa Adam na Eva maumivu ni must
 
mimi nikijana mwenye miaka 22 ninatafuta mchumba wa kunipenda kwa dhati nacyo kuniumiza namba yangu ni 0757042257

Kwa ushauri wangu hii sio sehemu sahihi ya kutafutia mchumba tena kwa mashariti kuwa akupende wadada wa siku hizi ok. Unaweza kumpata lakini mwanzoni akaigiza na baadae akakusumbua kwani maeneo uliyopo hakuna wadada?
 
ww unataka nikusanye au nipate

ngoja nikufundishe jinsi ya kujibu post, unapotaka kumjibu mtu post yake nenda mpaka mwisho wa hiyo post, bofya maneno yaliandikwa 'reply' halafu andika jibu lako then bofya send au submit
 
Umeshindwa kupata mtaani kwny wachumba wengi utaweza kupata humu?...jipange.
 
du, nenda google andika natafuta mchumba, watakuja wengi halafu chagua eeh. wala hawatakuumiza kwa sababu hawana misumali.
 
Huko mtaan mnaishi madume tu?kuna jamaa yangu anataka kuoa mwanaume vp nimpe hiyo namba ulodisplay hapo juu?utakua tayari kuvaa shera??loading error...
 
ndo mana hatudumu sikuhizi mtoto wa miaka 22 anataka mchumba hata thamani ya uchumba haijui loool!!:shock:
 
Mimi nikijana ninatafuta mchumba mwenye miaka kuanzia 19 anatayeweza kuixhi na mm kwa sasa niko singida kimasomo my phone number 0717458981 kiroho safii tu sitaki mpenzi wa pesa kama wewe uko kimasilahi lahasha usinitafute nataka mwenye true love na siyo money love its means @ no money no love kwangu no.
 
Hio ndio BRN bhana ! Big results Now, ukisikia nyingine ni photocopy

Ahsante Mh. Shukuru kawambwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom