Mwanamke anahitajika

Mwanamke anahitajika

ndusyepo

Senior Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
167
Reaction score
50
25 ndio miaka yangu, Richie ndio jina langu, Tabata ndio makazi yangu, natafuta mwanamke anayejua thamani ya kupendwa na anayejua kupenda kujali, sichagui umri maana umri ni namba tu.

Kwa aliyetayari tuwasiliane tafadhali 0755091728 au rmwaiseje@gmail.com
 
Haaah ngoja waje bibi zako ndo utajua km ni namba ama nin
 
ndusyepo

Kwa jinsi ulivyoandika ni wazi lazima utapata maana umeelezea wasifu wako hata uliojificha....... Hongera sana kijana
 
Last edited by a moderator:
ndusyepo

Mkuu umepeana talaka na nani huyo!? Mbona kaa kunakitu unakomeshea??
 
Last edited by a moderator:
Kwa mwandiko huo mwanamke gani utaongea nae wewe?????
Nenda katafute wacheza viduku hapo utafiti barabara.

kwanza umemaliza shule wewe?????
 
Number zangu 999
 

Attachments

  • 1433263009699.jpg
    1433263009699.jpg
    57.5 KB · Views: 46
Kwa mwandiko huo mwanamke gani utaongea nae wewe?????
Nenda katafute wacheza viduku hapo utafiti barabara.

kwanza umemaliza shule wewe?????

aisee una majibu!! sipati picha kibuti chako kikoje..:confused2:
 
Kwa mwandiko huo mwanamke gani utaongea nae wewe?????
Nenda katafute wacheza viduku hapo utafiti barabara.

kwanza umemaliza shule wewe?????


Hii mpya!!! Kumbe muandiki siku hizi pia ni kigezo? Apologise lady ngoja nikuje pm si umeuona mwandiko wangu ulivo mzuri
 
Last edited by a moderator:
Hii mpya!!! Kumbe muandiki siku hizi pia ni kigezo? Apologise lady ngoja nikuje pm si umeuona mwandiko wangu ulivo mzuri


Uliona wapi mwanaume anaandika, richie ndio jina langu, sindio hawa wa yo! yo!. utoto utoto.
Kwanza yeye mwanafunzi hata kitanda hana anakuja kutafuta mwanamke si viroja hivi????
PM Kwangu utamkuta mme wangu, we jipeleke huko.
 
Uliona wapi mwanaume anaandika, richie ndio jina langu, sindio hawa wa yo! yo!. utoto utoto.
Kwanza yeye mwanafunzi hata kitanda hana anakuja kutafuta mwanamke si viroja hivi????
PM Kwangu utamkuta mme wangu, we jipeleke huko.

Basi atafute jimama la kumlea kwanza mpaka akue
 
Uliona wapi mwanaume anaandika, richie ndio jina langu, sindio hawa wa yo! yo!. utoto utoto.
Kwanza yeye mwanafunzi hata kitanda hana anakuja kutafuta mwanamke si viroja hivi????
PM Kwangu utamkuta mme wangu, we jipeleke huko.

Labda kakumbukia kuimba Ngonjera alipokuwa anasoma shule ya msingi, huyu ndio baba naniliu wa baadae
 
Labda kakumbukia kuimba Ngonjera alipokuwa anasoma shule ya msingi, huyu ndio baba naniliu wa baadae


Yaani nilicheka sana nilipoona, mweee!!!!! eti nae anataka kuitwa honey, wakati bado hajavuka stage loh!!
 
25 ndio miaka yangu, Richie ndio jina langu, Tabata ndio makazi yangu, natafuta mwanamke anayejua thamani ya kupendwa na anayejua kupenda kujali, sichagui umri maana umri ni namba tu.

Kwa aliyetayari tuwasiliane tafadhali 0755091728 au rmwaiseje@gmail.com

nakala kwa: atoto
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom