Hi ni noma aisee usikose

Hi ni noma aisee usikose

Bongo.Com

Member
Joined
May 17, 2015
Posts
52
Reaction score
20
Sorry,

Mimi natafuta mke humu Jf, nina miaka 24,sichagui dini wala kabila,natumaini kuwa nitampata tutakaependana next namaliza chuo hivyo nahitaji wa kuwa naye am tired 2b alone.
 
Miaka 24 bado kinda unakimbilia kuoa. Chuo hujamaliza so hata financially I think utakuwa haupo stable kivile. Ndoa si ya kuikimbilia inahitaji commitment ya hali ya juu. Kula ujana kwanza. Ukianza maisha automatically mke utampata. Halafu kutafuta mke hapa jf si sahihi. Kwani huwaoni huko nje? Tafuta marafiki hapa jf na sio mke,wengine majini shauri lako.
 
Miaka 24 bado kinda unakimbilia kuoa. Chuo hujamaliza so hata financially I think utakuwa haupo stable kivile. Ndoa si ya kuikimbilia inahitaji commitment ya hali ya juu. Kula ujana kwanza. Ukianza maisha automatically mke utampata. Halafu kutafuta mke hapa jf si sahihi. Kwani huwaoni huko nje? Tafuta marafiki hapa jf na sio mke,wengine majini shauri lako.

Hahaha duh kumbe kuna majini humu" ila kweli kijana bdo sana sahvi atafute marafiki tu ili asiwe lonely, 24 bado sana kibongo bongo kuwaza kuoa.
 
Back
Top Bottom