Duuu mie nimepitwa kwa miaka miwili tuu,haya Good luck wenye bahati zao..
I said it once and i'll say it again, mtu aanzishe agency ya kukutanisha watu wanaotafuta wenza wa maisha bongo, the demand is there.
Back to the topic, kila la kheri Bro.
yupo bint mmoja kwa umbile yuko poa sana ukimuona utampenda. ana miaka 29 ila ana watoto watato ( 3) aliezaa na bwana mmoja bila kufunga ndoa kwa sasa wameachana. atakufaa?
Ebu p8 namba zake
Na ww hujaolewa??
Tayari..
Apana Mkuu tena katika kitu sitokaa nione wivu ni mtu akiolewa au akioa,sababu nimesha yaona mengi nakujifunza...Mbona kama umesikitika kukosa nafasi
Apana Mkuu tena katika kitu sitokaa nione wivu ni mtu akiolewa au akioa,sababu nimesha yaona mengi nakujifunza...
Enhe...........Umeyaona mengi ndani ya ndoa??
Enhe...........