Natafuta mke bora anayejitambua

Natafuta mke bora anayejitambua

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Heshima zenu wana jukwaa,

Naomba kueleza ukweli wa mambo ulivyotokea kwa mara ya kwanza. Nilikuwa natafuta mke, wakatokea wawili walionipm.Tukianza na wa kwanza, huyu tulikutana, baada ya miezi kama minne, tukaenda kupima, nikajua nimepata mke, ghafla akanichunia, mpaka leo sijui tatizo.

Wa pili tulichati kwa muda mrefu, ila badae akakata mawasiliano, mpaka leo sijui tatizo nini. Sasa nimerudi kwa mara ya pili na mwisho kwa hili forum.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanaforum

Nawasilisha
 
Unafanya kaz gan je unahela na unajua kuhonga mpaka hapo mke utapata lakin kama huna utaishia kuchuniwa tyuuuu
 
golden pride

kwa nn wote wakukimbie? Basi wewe shilingi huna so unataka watoto wa watu wapauke na kufa njaa???
 
Last edited by a moderator:
Khaa!! Kujitambua ndiyo nini?? Wewe unajitambua?? Tuliza kichwa tafuta a perfect match bana. Wanawake wote akili zao sawa tu, na wote ni wake wazuri tu. Chamsingi muendane tu. Anachokitaka uwe nacho na unachokitaka awe nacho. Bila hivyo ni maumivu 24/7 :sleepy:
 
Back
Top Bottom