Njoo tuzae, tulee

Njoo tuzae, tulee

mudy92

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
671
Reaction score
535
Husika na Mada tajwa! Mm kijana 24 yrs, Bachelor Degree, Sina kazi(mpka mwakani)

Hitajio langu.....

Mwanmke 30~38
mnene
Muislamu
kazi yeyote

Nahitaji wa kuzaa na kulea nae Mtoto tu..
 
Mdogo wangu unataka kuzaa wakati hata kazi bado? Malezi ya mtoto si lelemama
 
Mdogo wangu unataka kuzaa wakati hata kazi bado? Malezi ya mtoto si lelemama
Ina maana hujaelewa kuwa anataka kuolewa????

Soma vizuri, huyo ni mvulana anataka "kuzaa"

Think tatty ..... think!!
 
Last edited by a moderator:
Sikutaka kufikiria negative side
Anaitwa mudy92 ... ana miaka 24. Kwamba anaitwa Mohammed kazaliwa mwaka 1992.

Anataka kuolewa na mwanamke wa miaka 30-38.
 
Last edited by a moderator:
U are so kind. Thank you.. Sina usingizi leo
Sasa nifanyeje ili nikuambukize huu wangu. Mi usingizi umejaa tele tatizo siwezi kulala kabla yako.... Ntakuwa mwanaume wa aina gani sasa?
 
Sasa nifanyeje ili nikuambukize huu wangu. Mi usingizi umejaa tele tatizo siwezi kulala kabla yako.... Ntakuwa mwanaume wa aina gani sasa?

Hapo sawa...haya nalala Asprin, ngoja nijilazimishe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom