BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,532
- 11,028
Habari zenu wadau,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24..siku nne zilizopita nilipost thread ya kutafuta girl friend ambaye baadae tutakuwa wapenzi.
Ninashukuru kuwa nlifanikiwa kupata dada mmoja wa hapahapa iringa.lakini yule dada akadai kuwa yy anakidhi vigezo,hvo haina haja ya kuwa marafik badala yake tuwe wapenz,ingawa hata hatujaonana,japo alinitumia picha zake nami nkamtumia.
Hakika ni kifaaa, nami pia akanikubali cha kushangaza jana ndo ilikuwa siku ya kuonana il tufahamiane live but asubuh na mapema akanitext kuwa nmtumie kama lak hivi ili akasuke,pia atengeneze cm yake imeharibika,pia akadai anayotumia ni ya dada ake coz yeye anazo mbili mimi nikasema kuwa kwa sasa cna hela, labda tusubir mpaka mwisho wa mwezi.
Ila kwa sasa naweza msaidia tu 30, ambayo ntampa tutakavo onana ila sitaituma, yule dada akasema ameghair kuonana na mimi na hana mpango wa kuonana na mimi.
Nikamuuliza,kwa nini mpenzi wang,? Akanijb kuwa nikome kumuita mpenz na pia nifute no yake na mbaya zaid akazidi kuniponda kuwa simfai maana ni sawa na baba yake .
Mimi 24 yeye 20.nkamuambia kuwa nashkuru sana.
Hivo bas,bado namtafuta girl friend atayekiwa tayar anitumie contact zake kwa PM. Mimi ni mfanyakazi serikalini kada ya afya hapa mkoani Iringa.
Elimu yangu ni Diploma, hivyo namhitaji dada yeyote mwenye upendo wa dhati, ambaye baadae tutakuwa wapenzi Mungu akipenda.
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na umri usiopungua 18-22.
Natanguliza shukurani.
Ninashukuru kuwa nlifanikiwa kupata dada mmoja wa hapahapa iringa.lakini yule dada akadai kuwa yy anakidhi vigezo,hvo haina haja ya kuwa marafik badala yake tuwe wapenz,ingawa hata hatujaonana,japo alinitumia picha zake nami nkamtumia.
Hakika ni kifaaa, nami pia akanikubali cha kushangaza jana ndo ilikuwa siku ya kuonana il tufahamiane live but asubuh na mapema akanitext kuwa nmtumie kama lak hivi ili akasuke,pia atengeneze cm yake imeharibika,pia akadai anayotumia ni ya dada ake coz yeye anazo mbili mimi nikasema kuwa kwa sasa cna hela, labda tusubir mpaka mwisho wa mwezi.
Ila kwa sasa naweza msaidia tu 30, ambayo ntampa tutakavo onana ila sitaituma, yule dada akasema ameghair kuonana na mimi na hana mpango wa kuonana na mimi.
Nikamuuliza,kwa nini mpenzi wang,? Akanijb kuwa nikome kumuita mpenz na pia nifute no yake na mbaya zaid akazidi kuniponda kuwa simfai maana ni sawa na baba yake .
Mimi 24 yeye 20.nkamuambia kuwa nashkuru sana.
Hivo bas,bado namtafuta girl friend atayekiwa tayar anitumie contact zake kwa PM. Mimi ni mfanyakazi serikalini kada ya afya hapa mkoani Iringa.
Elimu yangu ni Diploma, hivyo namhitaji dada yeyote mwenye upendo wa dhati, ambaye baadae tutakuwa wapenzi Mungu akipenda.
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na umri usiopungua 18-22.
Natanguliza shukurani.