Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Yoso

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,836
Reaction score
3,296
Umri wangu ni miaka 45 natafuta mwanamke wa kuishi nae umri kuanzia 30-36 kwa upande wa uchumi ..maisha yangu ni daraja la kati zaidi najishughurisha na kilimo ..napendelea awe mkristo hasa mlokole ...watu wa pwani na wacheza taarabu waipotezee thread hii ..aliye siriazi ani PM au atume msg kwny # 0784080304.
 
Mlokole yupoje?
Me mkristo wa kawaida.namwamini Mungu Yesu kristo mtumishi wake mkuu naamini pia katika roho mtakatifu
 
Mlokole yupoje?
Me mkristo wa kawaida.namwamini Mungu Yesu kristo mtumishi wake mkuu naamini pia katika roho mtakatifu

teh teh teh..yani mule mule ulipokuwa unapataka!...sie tunasubiri mrejesho mtakavyoendeleza 'kilimo kwanza' hadi chumbani!
Usimchezee 'taarabu' ukaharibu sasa!
 
Sitaki makabila ya pwani....kwani wengi maadili in 0%....

Licha ya zero hawafikirii mbele wala kujishughulisha akili ya kimaendeleo hawana wanawaza malibwata na kupumbaza waume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom