Mtayarishaji
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 291
- 199
Hii inamhusu yule aliewahi kupost kuwa anatafuta na hatimaye akapata Mke/Mume/Mchumba kupitia jukwaa hili.
Share angalau kwa ufupi changamoto ulizokumbana nazo ktk huo mchakato hadi ukafanikiwa. Hii sio kwamba itanisaidia mimi tu bali na yule mwenye nia ya kutafuta mwenza kupitia Love Connect.
Mapovu yanaruhusiwa.
NaWaSiLiSha.
Share angalau kwa ufupi changamoto ulizokumbana nazo ktk huo mchakato hadi ukafanikiwa. Hii sio kwamba itanisaidia mimi tu bali na yule mwenye nia ya kutafuta mwenza kupitia Love Connect.
Mapovu yanaruhusiwa.
NaWaSiLiSha.