rubylove
Senior Member
- Jun 1, 2015
- 127
- 41
Mimi ni binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana, ila naona mda unaeenda na yeye ukimuuliza hajajipanga kimaisha.
Nimechoma kumsubiri natafuta mume wa kunioa.
angalau awe na Miaka 27-37.
Sijaweka number kwa sababu maalumu, ukihitaji namba tutawasiliana, naishi Dar.
Nimechoma kumsubiri natafuta mume wa kunioa.
angalau awe na Miaka 27-37.
Sijaweka number kwa sababu maalumu, ukihitaji namba tutawasiliana, naishi Dar.
Last edited by a moderator: