Rafiki was dhati/Mchumba

Jonnie777

New Member
Jan 14, 2019
1
0
Namtafuta mwanamke awe rafiki wa dhati, mwishowe tufanye maisha pamoja. Awe mrembo, anajiheshimu, amesoma angalau hadi polytechnic ama college. Umri usipite 34, awe mkristo, na asiwe na mtoto. Mwanamke mwenye mapenzi ya kweli, heshima na ako tayari kuwa na familia.

Mimi nina miaka 31, naishi Kenya, mjini Kitengela. PM tujuane zaidi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la heri!
Namtafuta mwanamke awe rafiki wa dhati, mwishowe tufanye maisha pamoja. Awe mrembo, anajiheshimu, amesoma angalau hadi polytechnic ama college. Umri usipite 34, awe mkristo, na asiwe na mtoto. Mwanamke mwenye mapenzi ya kweli, heshima na ako tayari kuwa na familia.

Mimi nina miaka 31, naishi Kenya, mjini Kitengela. PM tujuane zaidi.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom