Mke wangu uko wapi?

Mke wangu uko wapi?

Stanboy

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
1,115
Reaction score
1,320
Hey,
Natafuta mdada mzuri yaani sura na tabia mwenye sifa za kuwa mke mwaka huu huu wa 2019.

SIFA ZAKE
Umri usizidi miaka 30,
Mkristo,
Awe mrefu kiasi,
Maji ya kunde/mweupe,
Ameajiriwa au kujiajiri,
Kabila lolote.

SIFA ZANGU
Umri miaka 30
Mrefu kiasi,
Mkristo,
Maji ya kunde,
Nimejiajiri na nimeajiriwa,

Njoo PM tuelewane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom