Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Rais wa Kenya, William Ruto amesema hatomuomba msamaha yoyote kwa kitendo cha yeye kujenga Kanisa Ikulu ambapo amewashangaa wanaoanza kuleta manenomaneno kwasababu amejenga Kanisa hilo huku...
12 Reactions
35 Replies
2K Views
Hii ni aibu kubwa kwa wote wanaopigania ule uhuru usio na mipaka au heshima. Hii ni demokrasia gani inayoleta maafa na chaos?
3 Reactions
16 Replies
735 Views
https://youtu.be/05F_thApmuY?si=2FY_ab04Lot3yoUn Hili limetafsiriwa tofauti na wananchi waliokuwa wanamsikiliza. Waziri Murkomen ameliambia jeshi la polisi la Kenya kama atatokea mtu anataka...
2 Reactions
4 Replies
406 Views
Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi sana na vurugu zilizotokea wakati wa maandamano nchini Kenya ambapo takriban watu 16 walifariki huku wengine wakiwa na majeraha huku wakitoa wito wa...
1 Reactions
6 Replies
597 Views
Kenya ina vijana wengi sana ambao wameikimbia nchi yao, na wengi wao ni wale wenye elimu na akili nyingi. Hawa waliobaki Kenya hali zao za kiuchumi sio nzuri na hawajui kwanini hali zao kiuchumi...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Naomba tupate clip ya huyu Dada Stella Agara akiongea juu ya utawala ulioshindwa WA Ruto. Dada kashusha nondo vibaya Sana. Ana sema Ruto aondoke kwa kujiuzulu mwenyewe, ikiwa njia zingine...
2 Reactions
7 Replies
581 Views
Ukifika Kenya hakuna story zaidi ya habari za nairobi,Huwa najiuliza maswali serikali ya kenya haiendelezi maeneo mengine zaidi ya nairobi Maana story zote ni Nairobi,Wakiposti vitu ni vya...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Gavana wa Embu, Cecily Mbarire, amemshambulia vikali aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, akimtuhumu kufadhili makundi yenye vurugu kuingia kwenye maandamano ya vijana hivi karibuni na...
1 Reactions
2 Replies
501 Views
Rais wa Jamhuri ya Kenya na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto, amemteua Meja Jenerali David Kipkemboi Ketter kuwa Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu (Kenya...
0 Reactions
2 Replies
484 Views
Rais William Ruto amepuuza wito unaoongezeka kutoka kwa viongozi wa upinzani wanaomtaka ajiuzulu, akiwataka badala yake waje na mpango mbadala unaotekelezeka badala ya kuchochea vurugu na hali ya...
0 Reactions
2 Replies
472 Views
Hiyo ndio taarifa kutoka nchi jirani ya Kenya kwamba jana kulikuwa na jaribio la kupindua Serikali Waziri wa mambo ya ndani mh Murkomeni amesema wanasiasa waliofadhili Uhaini huo wanasakwa...
0 Reactions
8 Replies
440 Views
Kenya ni taifa ambalo halijawahi kuupata Uhuru wake hata kidogo. Hata Mzee Jaramongi Odinga alipoandika kitabu chake cha "Not yet Uhuru" alimaanisha lakini walimpuuza. Wakenya ni wakimbizi kwenye...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=49v7v-yUWdY
1 Reactions
9 Replies
446 Views
Update At least 16 people have been killed in nationwide rallies against police brutality and government corruption in Kenya, according to Amnesty International and the Kenya National Commission...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
https://vm.tiktok.com/ZMSxNxDRE/
0 Reactions
8 Replies
435 Views
Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya moshi wa gesi ya kutoa machozi katika mitaa ya Nairobi wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Juni 25. Tukio hilo lilitokea katikati ya maandamano...
0 Reactions
3 Replies
442 Views
Mahakama Kuu imekataa kushughulikia ombi la mdomo lililotaka Rais na maafisa wengine wa serikali watangazwe kuwa wameidharau mahakama kutokana na uteuzi wa wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na...
0 Reactions
1 Replies
313 Views
Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, David Maraga amejiunga katika maandamano ya vijana (Gen Z) jijini Nairobi akilaani ukatili wa Jeshi la Polisi dhidi ya vijana. Maelfu ya waandamanaji nchini Kenya...
0 Reactions
2 Replies
444 Views
BUNGE LA KENYA LALAZIMIKA KUAHIRISHA KIKAO CHAKE KUTOKANA NA UPUNGUFU WA WABUNGE HUKU MAANDAMANO YA GEN-Z YAKIENDELEA Bunge la Kitaifa la Kenya lililazimika kuahirisha kikao chake mapema leo...
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Back
Top Bottom