Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Rais wa Kenya William Ruto, akiwa katika hafla ya uzinduzi wa makazi ya polisi eneo la Kilimani, Nairobi, tarehe 9 Julai 2025, alitoa agizo kwa polisi kuwakabili watu wanaohusika na uharibifu wa...
1 Reactions
42 Replies
2K Views
Hata kama Ruto ataondoka ajae atafanya nn kuboresha maisha yao? Wanabomoa hata kile kilichopatokana kwashida kwa Kodi zao, ndio Martha Karua anataka kutufundisha hivi tuwe kama wao...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Hawa Gen Z wanateketeza nchi yao na hashtag yao ya #RutoMustGo
9 Reactions
78 Replies
3K Views
Nimeitoa huko kwa mdadisi na aliyekuwa mshiriki wa ujenzi wa katiba ya kenya, :::::::::::::::::::::::::::::: KENYA INATEKETEA KISA KATIBA MPYA: NI FURSA NA SOMO KWA TANZANIA Ni dhahiri polisi wa...
18 Reactions
134 Replies
5K Views
Kenya's Chief Kadhi, Sheikh Athman AbdulHalim Hussein, has died. Jamia Mosque Imam Sheikh Jamaludin Osman confirmed the news saying the Chief Kadhi died in Mombasa He added that Sheikh AbdulHalim...
0 Reactions
3 Replies
592 Views
Wakuu, Hii kali jamani, raia wamechoka kwakweli, ila kuishi Kenya inahitaji ujasiri na ukakamavu kwelikweli, ni drama kwa drama Source: buzzroom Kenya
1 Reactions
6 Replies
524 Views
Ni kauli ya Mh Ruto Ahsanteni sana Mlale unono 🐼
3 Reactions
5 Replies
421 Views
Mungu wa mbinguni ni mwema wakati wote Kwani anatuletea mifano ya wazi ya kule kunakopigiwa kama mfano bora wa Katiba mpya na Chadema Pamoja na Katiba mpya lakini Rais wao anasema enough is...
1 Reactions
77 Replies
3K Views
Kanisa kujengwa Ikulu maana yake Yesu Kristo ndiye Mfalme wa hiyo nchi Sasa Ukristo ni Dini ya Upendo siyo Visasi Kwenu Wagalatia 😄🙏
1 Reactions
4 Replies
291 Views
Nchini kenya kumekuwa na maandamano ya kila mara yaliyoibuka kuanzia Rais William Ruto alivyoingia madarakani na yamekuwa yakishinikiza mambo mbalimbali yanayofanywa na Ruto na tukumbuke kuwa Ruto...
0 Reactions
0 Replies
341 Views
Kuna watu wachache wanapuyunga mtandaoni wakiitukana Kenya iliyo na katiba mpya huku wakisema bora wangebaki na katiba yao ya zamani tu . Hawa ni watu wajinga wasioifahamu vizuri Kenya ya Jomo...
3 Reactions
8 Replies
420 Views
Mahakama Kuu Kenya wameamuru watoto waliozaliwa nje ya ndoa wapate mirathi na imezua gumzo katika Muslim Community Kenya. Lakini sasa mtoto bastard kwa tafsiri ya kawaida ni mtoto aliyezaliwa nje...
1 Reactions
13 Replies
714 Views
Hali imezidi kuwa mbaya huko Kenya katika maandamano yanaendelea lakini pia wanaibuka wahuni na kufanya mambo yao ya hovyo sana sasa hizi ni Kelele za Umma Baada ya Wahuni Kuvamia Hospitali ya...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Makamu wa Rais Mstaafu Rigathi Gachagua ametoa tuhuma nzito dhidi ya Rais William Ruto, akidai kuwa anaendesha mpango wa kutesa jamii ya Mlima Kenya kwa makusudi. Akizungumza tarehe 5 Juni 2025...
0 Reactions
5 Replies
533 Views
Wanaume takriban 20 wenye silaha walivamia makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu nchini Kenya siku ya Jumapili wakati taasisi hiyo ikiwa inajiandaa kufanya mkutano na waandishi wa habari...
0 Reactions
4 Replies
566 Views
Wakati Watanzania wakiadhimisha siku ya Sabasaba ikiwa ni maadhimisho ya kimataifa ya Biashara, kwa Wakenya siku hiyo inakumbukwa kuwa ni ya kiharakati, ikienda hadi miaka 1990 ambapo baadhi ya...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Boda Boda amegongwa na gari ya msafara wa rais huko Kenya na walikufa papo hapo na gari ikaingia huko kwenye maporomoko Magari hayo yalikuwa yakimsindikiza Rais William Ruto na Gavana Cecily...
1 Reactions
12 Replies
675 Views
Barabara zote kuu zinazoelekea jijini Nairobi zimefungwa leo huku hali ya usalama ikimarishwa katika maeneo mbalimbali ya mji, kufuatia maandamano yanayotarajiwa katika maadhimisho ya kumbukumbu...
1 Reactions
2 Replies
453 Views
Watu wasiopungua watano wameuawa katika maandamano ya Saba Saba ya leo huku makabiliano kati ya polisi wa kupambana na vurugu na waandamanaji yakizidi kushika kasi. Katika eneo la Kangemi, raia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom