Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Pole Rigathi Gachagua, Former Deputy President. ===== Hii ni baada ya seneti kupiga kura kupitisha mashtaka 5 kati ya 11 misingi yake ya kuondolewa kwake madarakani. Spika Amason Kingi: Seneti...
5 Reactions
110 Replies
8K Views
Naona anataka matokeo ya vituo yasiwe yanarushwa moja kwa moja papo hapo. Haya yatakuwa maandilizi kwa ajili ya wizi wa kura uchaguzi ujao.
2 Reactions
3 Replies
556 Views
Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, amesema kuwa itakuwa vigumu kumshinda Rais William Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 nchini Kenya. Akiwa mgeni...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mahakama kuu ya Kenya imeagiza Adani asiruhusiwe kufanya Shughuli yoyote nchini Kenya Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeionya Serikali ya Rais William Ruto kuhusu mipango ya kuchukua Mkopo wa Dola Bilioni 1.5 (zaidi ya Tsh. Trilioni 3.96) kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu...
1 Reactions
6 Replies
915 Views
Nimeona hio Documentary ya 60 Minutes; Kwa ufupi AI inahitaji kuwa trained ili iweze kugundua vitu kama picha, watu emotions n.k. Sasa Serikali ya Kenya imekuwa ikivutia makampuni kuja kuwekeza...
0 Reactions
3 Replies
575 Views
Huko nchini Kenya, Bunge la Seneti liko mbioni kujadili Muswada unaolenga kufuta kurushwa moja kwa moja kwa matokeo ya uchaguzi wa rais yanayotangazwa kutoka vituo vya kupigia kura. Muswada huo...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Hapa Tanzania jana Prof Kabudi amesema Somo la Biblia liingizwe shuleni Watu wamebishabisha sana Rais Ruto wa nchi jirani amesema maadili mema huanzia Kanisani hivyo serikali yake itaendelea...
0 Reactions
4 Replies
423 Views
Mfanyabiashara nguli na maarufu Duniani mh Adani ameendelea kubanwa kwenye viunga vya Africa Mashariki Baada ya kuondolewa kwenye Mambo ya Umeme na Viwanja vya Ndege, wabunge wataka aondolewe...
1 Reactions
1 Replies
400 Views
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA...
5 Reactions
42 Replies
3K Views
Nakubaliana na Dr Ruto na hasa ikizingatiwa Elon Musk sasa ni mshauri wa Rais wa Marekani Taifa lenye nguvu kabisa Duniani Ruto amesema dhana ya dunia ni Kijiji siyo ya kufikirika ni jambo...
0 Reactions
1 Replies
312 Views
Vikosi vya Usalama vimeongezwa maeneo ya Ikulu na Bunge kabla ya Rais William Ruto kutoa hotuba yake leo mchana Novemba 21, 2024 baada ya taarifa za Maandamano yaliyopangwa kufanyika leo kusambaa...
0 Reactions
2 Replies
695 Views
Miezi 18 tangu kampuni ya Huduma za Intaneti ya Starlink iingie nchini humo, imedaiwa Mitandao ya Simu imeanza kupata changamoto ya ushindani sokoni. Kwa mujibu wa tovuti ya Citizen Digital...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU. Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila...
8 Reactions
176 Replies
12K Views
Kenya kila kikao cha mawazili kikiisha huwa inatolewa taarifa kwa umma kile walicho azimia hii ni ili Raia wajue nini kinazungumzwa na kupitishwa Hio ni Jana, na hio ni Taarifa tena Breaking...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Wasomali wamejipanga Kufikia 2050 kenya itakua somalia au itaongozwa na wasomali kwene kila nyanja. Na itadi yao inaongezeka. Wana kauli yao ya kusema: “Nyie kazaneni na siasa sisi tunakazana...
11 Reactions
76 Replies
5K Views
Rais Ruto hatimaye amekubaliana na Kanisa Moja Takatifu La Mitume na kuwaahidi atasahihisha Makosa Yote waliyoorodhesha --- President William Ruto now says he has heard the concerns raised by the...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Haya ni maajabu! 😂 Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi. Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea...
30 Reactions
92 Replies
4K Views
Nafikiria tu haya matamshi ya Ruto yangekuwa yametolewa na Kiongozi wa Tanzania kwa TEC hali ingekuwa Tete na Chadema wangenunya Kesi Jana Maaskofu wa kanisa Katoliki Kenya walimtaka Ruto na...
1 Reactions
0 Replies
571 Views
Baraza la Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB) limeikosoa serikali ya Rais William Ruto kwa kushindwa kutimiza ahadi zake kwa Wakenya na kudumisha utamaduni wa uongo na kutumia mitambo ya Serikali...
1 Reactions
3 Replies
875 Views
Back
Top Bottom