Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Watu wasiopungua watano wameuawa katika maandamano ya Saba Saba ya leo huku makabiliano kati ya polisi wa kupambana na vurugu na waandamanaji yakizidi kushika kasi. Katika eneo la Kangemi, raia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hilo ndilo kosa kubwa linalofanywa na uongozi wa Kenya siasa kwenye vyombo vyao vya habari ni Kwa 95%,vipindi vya kimaendeleo Kwa Kenya vinapatiwa 5% only,Tujifunze Kwa majirani, hakika mungu...
1 Reactions
3 Replies
320 Views
Hali ilivyo Kenya inasikitisha sana, ustaarabu hawana, utu hawana na wala sio waungwana. Mshana Jr alinusurika kuliwa na wala nyama za watu akiwa Uganda.
2 Reactions
11 Replies
543 Views
Moses Kuria ajiuzulu nafasi ya Mshauri Mwandamizi wa Masuala ya Kiuchumi wa Rais William Ruto, asema anakwenda kufuatilia masuala yake binafsi. ================== Moses Kuria resigns as President...
0 Reactions
7 Replies
390 Views
Waziri mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga amekemea mauaji yanayofanywa na Polisi na kusema ni aibu kwa taifa lao. Raila amesema Kenya ililibadili Jeshi la Polisi na kuwa Huduma ili kuliondoa...
4 Reactions
59 Replies
2K Views
Rais wa Kenya, William Ruto, ameendelea kusisitiza nia yake ya kujenga kanisa la kisasa ndani ya Ikulu (State House), akipinga vikali kauli za baadhi ya watu wanaodai kuwa mradi huo utagharimu...
1 Reactions
4 Replies
554 Views
Wakuu, Yaani Kenya kila mtu mbabe. Inaonekana kwenye haya maandamano kuna vijana wamevurugwa to the point wanachoma mali za Serikali. Hii ni video inayoonesha vijana ambao The Citizen imewaita...
2 Reactions
14 Replies
985 Views
Kenya is increasingly becoming unsafe for its youth and general population due to a worrying surge in state violence, police brutality, and crackdowns on protests. Recent events, including the...
1 Reactions
3 Replies
815 Views
Rafiki yangu Prof Malima kitambo tu alitenga chumba kimoja cha kuswalia pale Wizara ya Fedha basi maneno yalikuwa chungu mzima eti kajenga Msikiti wizarani Rais Ruto amesema hajali wala hataomba...
2 Reactions
11 Replies
646 Views
Kiongozi wa chama cha DCP na Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua amepuuzia madai kwamba aliwalipa makundi ya vijana kuharibu mali wakati wa maandamano ya Juni 25 ya GenZ akidai kuwa serikali...
0 Reactions
2 Replies
403 Views
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, amelalamikia vikali kauli ya Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen, aliyewataka polisi kuwafyatulia risasi raia watakaokaribia vituo vya...
0 Reactions
2 Replies
501 Views
Serikali ya Kenya imefuta bili ya hospitali ya shilingi 815,805 aliyokuwa akidaiwa Boniface Kariuki aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya Juni 25 Kupitia taarifa iliyotolewa na...
0 Reactions
2 Replies
425 Views
Aliye wahi kuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 alifanikiwa kuwahamasisha watu milioni 4 kutoka eneo la Mlima Kenya kumpigia kura William...
0 Reactions
3 Replies
435 Views
Boniface Kariuki, mchuuzi aliyepigwa risasi wakati wa maandamano wiki mbili zilizopita jijini Nairobi, amefariki dunia. Msemaji wa familia, Emily Wanjira, amesema Kariuki alithibitishwa kuwa...
0 Reactions
6 Replies
632 Views
Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali yake imevifungia zaidi ya vituo 1,000 vya afya vilivyohusika na udanganyifu dhidi ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA). Akizungumza na Wakenya wanaoishi...
0 Reactions
1 Replies
374 Views
Maelfu ya vijana siku ya Alhamisi walivamia na kulichoma kituo cha Polisi cha Mawego kilichopo Rachuonyo Mashariki, Kaunti ya Homa Bay, huku wakibeba jeneza la marehemu mwanablogu Albert Ojwang’...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Vijana nchini Kenya wametambulisha chama kipya cha siasa kilichopewa jina la 47 Voices of Kenya Congress, ambacho tayari kimeingia rasmi kwenye uwanja wa siasa baada ya kusajiliwa rasmi. Hiki ni...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
"Rais Ruto aliniuliza kuhusu Kikosi Maalum cha Mauaji (Special Service Unit) mara tu baada ya kuapishwa, na mimi nilikuwa naisikia kwa mara ya kwanza. Waziri wa Mambo ya Ndani hafahamu kila...
0 Reactions
5 Replies
547 Views
Back
Top Bottom