Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT), William Kabogo, amesema hakuna taarifa zozote za serikali zilizopotea au kuibwa na wadukuzi baada ya tovuti kadhaa za serikali kuvamiwa mapema...
1 Reactions
3 Replies
251 Views
Tovuti za Wizara muhimu za Serikali nchini Kenya zimeathiriwa na shambulio la mtandao leo asubuhi Kwa mujibu wa taarifa za Vyombo mbalimbali vya Habari Nchini humo, watu wengi walikosa huduma...
1 Reactions
2 Replies
423 Views
Marekani imesaini mkataba wa msaada wa afya wa dola bilioni 2.5 na Kenya, ambao ni mkataba wa kwanza wa aina hiyo wa pande mbili baada ya Rais Donald Trump kulivunja shirika la misaada la Marekani...
4 Reactions
34 Replies
725 Views
Almost half of Kenya’s population lives in extreme poverty – on less than Ksh.130 per day – a new Oxfam Kenya report reveals. The report also shows that Kenya’s richest 125 people own more wealth...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Tanzanian security is very complex. Ignorant fools might think that what happened was a surprise. No, it was planned for many years with the aim of destroying Tanzania. National Security was...
1 Reactions
12 Replies
798 Views
Nov 24, 2025 Kenya imekuwa miongoni mwa walioathirika zaidi, huku thamani ya kandarasi za Marekani zilizofutwa hadi sasa ikizidi takribani Shilingi (za Kenya) bilioni 108. ======== Kenya has...
1 Reactions
1 Replies
516 Views
Katika hali iso ya kawaida kuna movement ilioanza toka mwaka 2011 ya mombasa kujitenga na kenya kua nchi inaojitegemea, baadhi ya watu hawafurahii kuwepo kwa nchi moja ambayo Mombasa ipo ndan yake...
0 Reactions
8 Replies
520 Views
Inspekta mkuu wa polisi nchini Kenya, Douglas Kanja amethibitisha kuwa mwanablogu, Albert Ojwang alizuiliwa rasmi katika Kituo Kikuu cha Polisi chini ya OB nambari 136/7/6/2025. Kanja alisema...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Tanzania is advancing its ambitious vision to become East and Central Africa’s premier logistics and trade hub. At the heart of this strategy is the massive integration of 11 key ports—on the...
4 Reactions
7 Replies
974 Views
Waziri wa Mambo ya Nje Kenya, Musalia Mudavadi, ameweka wazi kuwa bado kuna Wakenya wawili wanaoshikiliwa na mamlaka za Tanzania kufuatia machafuko yaliyozuka wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Nairobi yatajwa kuwa jiji la tatu lenye hewa chafu zaidi barani Afrika
1 Reactions
10 Replies
886 Views
Na Dr. Maureen Olesumba Laizer Mtafiti wa masuala ya Uchumi na Biashara 2021 Hawkins Circle LOS ANGELES, CA 90001-2257 USA Nimemsikia Rais wa Kenya bwana Ruto akiongelea uchaguzi wa Tanzania...
3 Reactions
23 Replies
876 Views
Ruto anasema kimbelembele chao kilimpeleka mambele kuingia deal na Microsoft na G42 ili waanzishe Data Centers Kenya, lakini wakaambiwa kuwa data center moja inahitaji MW 1,000, wakati nchi nzima...
1 Reactions
20 Replies
811 Views
Kwa miaka mingi, bidhaa muhimu zaidi ya Kenya iliyokuwa ikiuzwa nje ya nchi ilikuwa kahawa. Leo, ni wafanyakazi. Fedha zinazotumwa nyumbani na Wakenya wanaofanya kazi nje ya nchi sasa zinachangia...
1 Reactions
5 Replies
268 Views
Kama ambavyo tunafahamu, China nan chi za Afrika zimekuwa na ushirikiano na uhusiano unaogusa pande nyingi, ikiwemo elimu, kilimo, sayansi na teknolojia, biashara na uchumi, pamoja na masuala ya...
2 Reactions
3 Replies
268 Views
Mwanaharakati wa Kenya Bob Njagi amefichua kwamba kukamatwa kwake hivi karibuni nchini Uganda, pamoja na mwanaharakati mwenzake Nicholas Oyoo, kulipangwa kwa makusudi. Amesema walikamatwa muda...
4 Reactions
2 Replies
475 Views
Waziri Mkuu wa Baraza la Mawaziri, Musalia Mudavadi, amewataka Wakenya kuepuka kuvuka mipaka ya nchi kwa ajili ya kutafuta haki au kushiriki katika siasa za mataifa jirani, akionya kuwa uhuru...
2 Reactions
4 Replies
305 Views
https://m.youtube.com/watch?v=PTqDwq2Afgs
1 Reactions
5 Replies
306 Views
https://m.youtube.com/watch?v=Fb0NXm8zczM
1 Reactions
8 Replies
211 Views
Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya (KCAA) imethibitisha kuwa ndege ndogo iliyokuwa ikisafiri kutoka Diani kwenda Kichwa Tembo imeanguka katika Kaunti ya Kwale. Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa...
1 Reactions
2 Replies
422 Views
Back
Top Bottom