Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Yaani kweli kabisa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasimama hadharani, bila aibu, bila busara, na kusema Wakenya ni watovu wa nidhamu? For real? That’s messed up! Mama Samia, hii siyo...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
By Joseph Ludovick Tanzanians are a peace loving people, defined by a history of diplomacy, order, and an unwavering respect for sovereignty. But recent events surrounding the arraignment of...
1 Reactions
4 Replies
778 Views
Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Kenya Mheshimiwa Rigathi Gachagua amesema maisha yake yapo hatarini akimtuhumu Rais William Ruto kuhusika na tishio hilo. Gachagua amesema alipewa taarifa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
586 Views
1. Walitangaza nafasi, wakaomba watu.wengi , wakawa shortlisted??? 2. Wakafanyiwa Interview ya wazi, televised kila Mkenya anaona na kusikia 3. Wanampelekea Rais kati ya majina 5???? ateue mmoja...
0 Reactions
1 Replies
294 Views
“Wametembea, wamejaribu kwenda kuleta mchezo wanaoleta hapa katika manchi jirani, nini kimetokea?, tukiambia Waty that Kenya is so democratic they don’t believe it” “Watu wanatoka katika Taifa...
0 Reactions
5 Replies
641 Views
Familia moja katika eneo la Narok, Kenya, imepigwa na butwaa kufuatia kauli ya Rais William Ruto aliyodai katika mkutano wa hadhara kuwa alizungumza na baba yao na kufikia makubaliano kuhusu...
0 Reactions
6 Replies
662 Views
Kumekuwa na mwenendo unaotia wasiwasi katika mitandao ya kijamii, ambapo baadhi ya Wakenya wamejipa mamlaka ya kuingilia na hata kudhalilisha masuala ya ndani ya siasa za Tanzania. Hili si jambo...
4 Reactions
52 Replies
3K Views
Takriban watu watatu wamekamatwa kufuatia tukio la kutupwa kiatu kuelekea kwa Rais William Ruto katika eneo la Kuria Magharibi, Kaunti ya Migori. Soma Pia: VIDEO: Rais Ruto apigwa na kiatu usoni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KENYA: Serikali imemsafirisha Mmoja wa Viongozi wa NRM, Miguna Miguna kuelekea nchini Canada ikiwa ni saa chache baada ya Majaji kusimamisha kesi zake zote kufuatia Polisi kushindwa kumfikisha...
4 Reactions
105 Replies
16K Views
https://x.com/kenyanwalstreet/status/1920710670007369997?t=7R1hJAOxEGvKDNa-_WPzog&s=19 https://x.com/MwangoCapital/status/1920750699245433156?t=P05PrDyoB4a5_mw6gcL4LQ&s=19 Ethiopia is a drag on...
0 Reactions
1 Replies
353 Views
Wanaharakati wa kisiasa Morara Kebaso na Kasmuel McOure wameungana kuanzisha harakati ya vijana kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2027. Wanasema kuwa wameweka tofauti zao kando ili...
1 Reactions
1 Replies
488 Views
Nelson Amenya, mtoa taarifa wa Kenya ambaye aliibua kashfa ya mkataba wa uwanja wa ndege wa Adani uliobatilishwa hivi karibuni, ameibuka tena akidai kuwepo kwa mpango mpya wa kukodisha Uwanja wa...
0 Reactions
1 Replies
386 Views
Mashirika Saba Yafungua Kesi Mahakamani Kupinga Kukatizwa kwa Intaneti Nchini Kenya Katika hatua kubwa ya kulinda haki za kidijitali na uhuru wa kikatiba, Shirika la CIPESA (Collaboration on...
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Sio wageni kuhusu hii dini ya freemasonry ambayo ikijitapa kuwa inanguvu ya pesa na watu maarufu. Huko nairobi wana deni la pango nyumba za serikali mpaka kufungiwa jumba lao maeneo ngara.
2 Reactions
5 Replies
620 Views
1. Ruto aKasema waliotekwa wote watapatikana, na wakapatikana wote 2. Muthuli anasema NIS inahusika kumteka mtoto wake na baadaye akapatikana 3. Activisits call upon Ruto to reveal abductors...
0 Reactions
11 Replies
576 Views
NTV Kenya: Wamepost video za walinzi wa aliyekuwa makamu wa Rais wa Kenya wakifyatua risasi hewani kuwatawanya wahuni waliovamia na kuleta vurugu wakati Gachagua akilaunch chama chake. Riggy G...
1 Reactions
6 Replies
552 Views
Wakuu, Polisi waliovaa kiraia wamevamia nyumba ya Gavana wa Trans Nzoia, George Natembeya, iliyoko Milimani, Kitale, mapema Jumatatu katika oparesheni inayodaiwa kuhusisha Tume ya Maadili na...
0 Reactions
2 Replies
349 Views
Mbunge wa Kenya Anatrend kwenye mitandao, hasa huko Nigeria. https://youtu.be/tBy_aGjSDro?si=jRPx2M-pLfpGBtyu
6 Reactions
15 Replies
855 Views
Wabunge katika Seneti ya Marekani wahoji kuhusu uaminifu wa Kenya kwa Marekani kufuatia ziara ya hivi karibuni ya Rais William Ruto nchini China. Katika muktadha wa vita vya kibiashara kati ya...
0 Reactions
3 Replies
745 Views
https://www.channelten.co.tz/raia-wa-100-kenya-wakamatwa-mara/ Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili...
14 Reactions
168 Replies
13K Views
Back
Top Bottom