Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Albert alikamatwa akiwa nyumbani kwao na wazazi wake wakijiandaa kula chakula Ndani ya saa 24 baba yake akaletewa taarifa kuwa mwanae amekufa baada ya kujibamiza ukutani kwenye selo aliyokuwa...
2 Reactions
13 Replies
883 Views
Mbunge nchini Kenya aiba vifaa vya simu,venye thamani ya milioni 1.9 ya Kenya.akamatwa kwa kupitia CCTV camera.Mbunge huyo ni wa Kitui.Polisi wameweza kumjua,baada ya uchunguzi.
2 Reactions
6 Replies
422 Views
Abiria waliokuwa wakisafiri kwa usafiri wa umma (matatu) jijini Nairobi walikamatwa Jumatano jioni kwa tuhuma za kumzuia afisa wa polisi wa trafiki kumkamata mmoja wao. Tukio hilo lilitokea baada...
1 Reactions
7 Replies
612 Views
Mchungaji huko Nyeri anayeshutumiwa kumbaka mvulana wa miaka tisa ameuliwa na wanakijiji wenye hasira. Simon Ndegwa, ambaye alikuwa mchungaji katika kanisa la True Disciple Ministry na...
1 Reactions
11 Replies
628 Views
Jamani Zumaridi mpya kutoka Kenya Judith Nafula mwenye umri wa miaka 50 kutoka Busia anadai kuwa yeye ni Mariamu, mama wa Yesu, na kwamba mume wake anaitwa Yusufu. “Mama aliniambia kwamba wakati...
0 Reactions
3 Replies
317 Views
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ataka Kenya ichukue hatua kali dhidi ya Tanzania kufuatia madai ya utesaji wa wanaharakati Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, ametaka serikali ya Kenya ichukue hatua...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Wana jamvi Habari zenu.! Hivi ndugu zetu wa kenya wanamatatzo gani? Ukiachana na yule jamaa aliejiita mungu (YEHOVA WANYONYI) wa kenya magharibi alifariki 2021. sasa tena hukohuko kenya...
0 Reactions
14 Replies
828 Views
Mwaka wa 2013 wakenya walifungua kesi kuwashtaki israel kumuua Yesu, mwenye updates kesi iliendaje atutaarifu https://www.timesofisrael.com/kenyan-lawyer-suing-israel-over-jesuss-death/
0 Reactions
2 Replies
287 Views
Mbunge wa Kenya aliyeibua hisia kali baada ya kutisha kuwafurusha wageni wanaofanya biashara ndogo ndogo zinazofaa kufanywa na wazawa, leo ameitembelea Tanzania ambayo pia aliitaja kwenye matamko...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Pia lihakikisha Jeshi hilo linakuwa huru kufanya majukumu yake pasipo kuamrishwa na wanasiasa bali kwa mujibu wa sheria. Je, Tanzania haitamani tufike huku? Sitashangaa kusikia watu fulani...
1 Reactions
4 Replies
331 Views
Wakuu, Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen, ametangaza Ijumaa tarehe 6 Juni 2025 kuwa sikukuu ya Eid-ul-Adha kupitia tangazo la gazeti la serikali lililotolewa Jumatano. “Taarifa...
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Hii sasa ukisika atucheki na wowote ndiyo hii. Pia ni kuonyesha ukomavu katika kusimamia sheria na utaratibu uliwekwa bila kujali cheo au nafasi ya mtu! Mwanamke mmoja, kwa kuonesha mshikamano na...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Mwandishi na msomi mashuhuri wa Kenya Ngũgĩ wa Thiong'o afariki akiwa na umri wa miaka 87 Taarifa za Msiba zimethibitishwa Wanjikũ wa Ngũgĩ, ambaye ni binti wa mwanafasihi huyo mahiri barani...
16 Reactions
144 Replies
7K Views
RASHDA WRITES✍️ In recent days, the issue of foreign activists interfering in Tanzania’s internal matters has sparked national attention. Prominent Kenyan politician Martha Karua and others...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=iMrLys3Q9iM
0 Reactions
1 Replies
312 Views
Ombi limewasilishwa katika Mahakama ya Milimani likilenga kumzuia Rais wa Kenya kuteua washauri wapya. Wakili Vincent Lempaa Suyianka ndiye aliyepeleka ombi hilo mahakamani, akitaka pia serikali...
1 Reactions
2 Replies
404 Views
Nairobi, Kenya - The Kenyan government is signaling its intent to sell a portion of its stake in the highly profitable telecommunications giant, Safaricom. The move, aimed at raising a substantial...
1 Reactions
1 Replies
749 Views
Rais wa Kenya, William Ruto, ametaka hatua za haraka na za pamoja kutoka kwa jumuiya ya kimataifa ili kusitisha vita vinavyoendelea nchini Sudan, akionya kuwa mapigano hayo yamefikia kiwango cha...
0 Reactions
2 Replies
388 Views
Back
Top Bottom