Inawezekana kukawa na chaguzi ndogo maana wabunge wa sasa wanaweza kujiuzulu especially in Mount Kenya area kwa kujiunga na Gachagua na hivyo kuwepo na ulazima wa chaguzi ndogo.
My take:
1...
Serikali ya Kaunti ya Nairobi imefunga Jumba la Grand Lodge linalotumika kama Ukumbi wa ibada kwa wa waumini wa Freemasons wa Afrika Mashariki lililopo katikati mwa jiji kutokana na na malimbikizo...
Hatma ya washukiwa wa shambulizi dhidi ya jengo la Westgate kujulikana Jumanne hii
Hukumu ya washukiwa wa mlipuko wa kigaidi katika jengo kubwa la maduka la Westgate jijini Nairobi mwaka 2013 na...
Waangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya (Elections Observation Group – ELOG) wameonesha wasiwasi wake kuhusu hatua ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kuwasilisha ripoti ya mchakato wa Uteuzi...
kuna kipindi nafatalia youtube kupitia Easterntv na bado kinaendelea nimeogopa sana tena swala la watoto.
Najua wengi wa watanzania mtoto akijua kutembea unamuacha kama kuku ili mradi tu jioni...
Hii gari ya Kenya aki walahi ni beautiful sana. Mobius ni gari inayoundwa Kenya.
#BuyKenyaBuildKenya
#MadeInKenya
Wengine kutoka Kusini waendelee tu kuunda gari linaloitwa nyumbu.
Mtu mmoja amemrushia kiatu Rais wa Kenya William Ruto wakati akizungumza na wananchi wa Kehancha, Kitongoji cha Migori ambapo leo alikuwa anazindua mradi wa nyumba 298 zenye nafuu kwa wananchi...
Alipotupiwa kiatu, George Bush alicheka tu japo dent was done. Je kwanini watu wanafikia hatua hii? Je, wahusika wanajifunza nini?
Je nini kifanyike?
Je, kwanini watawala wanajiachia na...
Hawa walimuua mtoto kwa kumpiga risasi katika chaguzi za 2017. Kwa vile Kenye to a great or lesser extent ni democratic country, polisi leo wamefikishwa mahakamani kujibu mauaji na mateso ya...
Since the EACOP is gaining momentum, I would like to give my suggestion of having a single thread that will accommodate all matters regarding to development of a project. This will cub the...
Taarifa za hivi punde zinasema kwamba, watu wengi wameuliwa baada ya Alshabaab kuvamia basi la abiria jioni hii huko katika mkoa wa Wajir.
Wakati tunaendelea kuomboleza mamia ya wakenya waliokufa...
Wakuu,
Jirani naye hana tofauti na wa kwetu, ni mwendo wa mabavu tu badala ya uwajibikaji utafikiri itasaidia kubadilisha kitu, zaidi ni kufanya wananchi waangalie njia ya kuleta uwajibikaji kwa...
Kipindi cha maandamano ya gen-z kule Kenya mpaka kufikia kwenda bungeni na kutokea mauaji ambayo inashutumiwa KDF ambalo ni jeshi la Kenya kuhusika sasa, BBC ilitoa taarifa kupitia kipindi chake...
Wajuvi wa mambo mliokwea hizo ndege nani zaidi kati ya ET vs KQ katika nyanja zifuatazo;
1. Reliable & Convinient booking system (including payment mode = mobile money, Credit card, CASH/local or...
Mbunge wa Chama cha ODM, Charles Were amepigwa risasi na kuuawa katika mzunguko wa hifadhi ya City kwenye barabara ya Ngong jijini Nairobi na watu wawili waliokuwa kwenye pikipiki muda mfupi...
Vyombo vya Kenya Jana usiku vilitoa habari ya kuuliwa kwa Mbunge Were aliyepigwa risasi na mtu aliyekuwa anayeendesha pikipiki.
Tukio hili limetokea baada ya Mbunge huyu wa ODM kuliomba jeshi la...
Kenya Airways has nothing to fear about return of Uganda Airlines – envoy
SUNDAY DECEMBER 9 2018
Insight. Kenya’s High Commissioner to Uganda, Mr Kiema Kilonzo, during the interview in...
Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Kenya wamelaani vikali ghasia zilizozuka katika Eneo Bunge la Kilgoris, Kaunti ya Narok, kati ya wananchi na maafisa wa polisi kuhusu mgogoro wa ardhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.