Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Inawezekana kukawa na chaguzi ndogo maana wabunge wa sasa wanaweza kujiuzulu especially in Mount Kenya area kwa kujiunga na Gachagua na hivyo kuwepo na ulazima wa chaguzi ndogo. My take: 1...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Serikali ya Kaunti ya Nairobi imefunga Jumba la Grand Lodge linalotumika kama Ukumbi wa ibada kwa wa waumini wa Freemasons wa Afrika Mashariki lililopo katikati mwa jiji kutokana na na malimbikizo...
5 Reactions
67 Replies
4K Views
Hatma ya washukiwa wa shambulizi dhidi ya jengo la Westgate kujulikana Jumanne hii Hukumu ya washukiwa wa mlipuko wa kigaidi katika jengo kubwa la maduka la Westgate jijini Nairobi mwaka 2013 na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya (Elections Observation Group – ELOG) wameonesha wasiwasi wake kuhusu hatua ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kuwasilisha ripoti ya mchakato wa Uteuzi...
0 Reactions
1 Replies
603 Views
kuna kipindi nafatalia youtube kupitia Easterntv na bado kinaendelea nimeogopa sana tena swala la watoto. Najua wengi wa watanzania mtoto akijua kutembea unamuacha kama kuku ili mradi tu jioni...
3 Reactions
8 Replies
540 Views
Hii gari ya Kenya aki walahi ni beautiful sana. Mobius ni gari inayoundwa Kenya. #BuyKenyaBuildKenya #MadeInKenya Wengine kutoka Kusini waendelee tu kuunda gari linaloitwa nyumbu.
18 Reactions
76 Replies
8K Views
Katika hali ya kupiga butwaa, wengi mido inkamu Kenya yajivunia hatua ya watu wa vijiji vyao kujisaidia vyooni. Tuwapongeze majirani jamani.
15 Reactions
83 Replies
11K Views
Mtu mmoja amemrushia kiatu Rais wa Kenya William Ruto wakati akizungumza na wananchi wa Kehancha, Kitongoji cha Migori ambapo leo alikuwa anazindua mradi wa nyumba 298 zenye nafuu kwa wananchi...
10 Reactions
125 Replies
7K Views
Alipotupiwa kiatu, George Bush alicheka tu japo dent was done. Je kwanini watu wanafikia hatua hii? Je, wahusika wanajifunza nini? Je nini kifanyike? Je, kwanini watawala wanajiachia na...
0 Reactions
3 Replies
476 Views
Hawa walimuua mtoto kwa kumpiga risasi katika chaguzi za 2017. Kwa vile Kenye to a great or lesser extent ni democratic country, polisi leo wamefikishwa mahakamani kujibu mauaji na mateso ya...
0 Reactions
2 Replies
370 Views
Since the EACOP is gaining momentum, I would like to give my suggestion of having a single thread that will accommodate all matters regarding to development of a project. This will cub the...
10 Reactions
664 Replies
52K Views
Taarifa za hivi punde zinasema kwamba, watu wengi wameuliwa baada ya Alshabaab kuvamia basi la abiria jioni hii huko katika mkoa wa Wajir. Wakati tunaendelea kuomboleza mamia ya wakenya waliokufa...
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Tazama video https://youtu.be/CuEc47jKEU0?si=ZURPWqS0Efdf8YdK
0 Reactions
1 Replies
319 Views
Wakuu, Jirani naye hana tofauti na wa kwetu, ni mwendo wa mabavu tu badala ya uwajibikaji utafikiri itasaidia kubadilisha kitu, zaidi ni kufanya wananchi waangalie njia ya kuleta uwajibikaji kwa...
0 Reactions
0 Replies
518 Views
Kipindi cha maandamano ya gen-z kule Kenya mpaka kufikia kwenda bungeni na kutokea mauaji ambayo inashutumiwa KDF ambalo ni jeshi la Kenya kuhusika sasa, BBC ilitoa taarifa kupitia kipindi chake...
2 Reactions
2 Replies
453 Views
Wajuvi wa mambo mliokwea hizo ndege nani zaidi kati ya ET vs KQ katika nyanja zifuatazo; 1. Reliable & Convinient booking system (including payment mode = mobile money, Credit card, CASH/local or...
7 Reactions
65 Replies
12K Views
Mbunge wa Chama cha ODM, Charles Were amepigwa risasi na kuuawa katika mzunguko wa hifadhi ya City kwenye barabara ya Ngong jijini Nairobi na watu wawili waliokuwa kwenye pikipiki muda mfupi...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Vyombo vya Kenya Jana usiku vilitoa habari ya kuuliwa kwa Mbunge Were aliyepigwa risasi na mtu aliyekuwa anayeendesha pikipiki. Tukio hili limetokea baada ya Mbunge huyu wa ODM kuliomba jeshi la...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Kenya Airways has nothing to fear about return of Uganda Airlines – envoy SUNDAY DECEMBER 9 2018 Insight. Kenya’s High Commissioner to Uganda, Mr Kiema Kilonzo, during the interview in...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Kenya wamelaani vikali ghasia zilizozuka katika Eneo Bunge la Kilgoris, Kaunti ya Narok, kati ya wananchi na maafisa wa polisi kuhusu mgogoro wa ardhi ya...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
Back
Top Bottom