Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 313
Imekuwa ni siku iliyowashangaza wengi baada ya Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kutumia daladala kuelekea mjini na baada hapo kula chakula vibandani kwa mama ntilie.
Baadae msafara wake uliwasili mjini ambapo amezungumza kwa uchungu mkubwa kati kati ya Jiji akisema Rais Ruto anaamtaka kumwinda.
'Huyu Ruto Kila siku ananiwinda lakini ajue yupo' amesema Odinga.
Upinzani umepanga kufanya maandamano mengine siku ya Jumatano huku wengi wakihisi huenda yakawa ni makali zaidi ikizingatiwa kuwa Viongozi wengi wanaomuunga mkono Rais Ruto wameomba akamatwe sasa.
Ikumbukwe maandamano yaliyofanyika Ijumaa iliyopita yalipelekea vifo vya watu 6 huku wengine wakiuguza majeraha.
Baadae msafara wake uliwasili mjini ambapo amezungumza kwa uchungu mkubwa kati kati ya Jiji akisema Rais Ruto anaamtaka kumwinda.
'Huyu Ruto Kila siku ananiwinda lakini ajue yupo' amesema Odinga.
Upinzani umepanga kufanya maandamano mengine siku ya Jumatano huku wengi wakihisi huenda yakawa ni makali zaidi ikizingatiwa kuwa Viongozi wengi wanaomuunga mkono Rais Ruto wameomba akamatwe sasa.
Ikumbukwe maandamano yaliyofanyika Ijumaa iliyopita yalipelekea vifo vya watu 6 huku wengine wakiuguza majeraha.