BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Kwa mujibu wa taarifa ya Mashuhuda, ajali imetokea eneo la Londiani Nchini Kenya baada ya Lori kupoteza uelekeo na kuwafuata waenda kwa Miguu, Wafanyabiashara na Mabasi madogo ya Abiria yaliyoegeshwa kando ya Barabara.
Kamanda wa Polisi wa Londiani, Agnes Kunga amethibitisha ajali hiyo na kueleza kuwa miili ya waliofariki ilikuwa bado iko chini ya 'Kontena' na kwenye Magari yaliyobanwa na Lori hilo.
Zaidi ya Majeruhi 60 wamekimbizwa katika Vituo mbalimbali vya Afya vya Londiani, Kericho na Nakuru. Zoezi la uokoaji limekumbwa na ugumu kutokana na Mvua kubwa zinazonyesha.
========
More than 55 people are feared dead and several others hospitalised in Kericho County following a tragic accident that occurred at Londiani junction on Friday evening.
The 6.30pm accident occurred after a truck lost control, running over pedestrians, business people and matatus which were parked by the roadside.
The truck was heading to Kericho before it lost control and veered off the road, ramming into tens of hawkers who were busy along the Nakuru-Kericho highway.
According to eye witnesses, the driver of the truck was trying to avoid hitting a bus that was parked on the road after developing a mechanical hitch before losing control.
Several Nissan matatus were damaged beyond recognition during the evening accident.
According to Londiani OCPD Agnes Kunga, the rescue is still going on with several bodies still trapped inside vehicles with some under the truck.
More than 60 people have so far been rushed to different hospitals in Londiani, Kericho and Nakuru where they are currently receiving treatment.
Rescue efforts have been slowed by heavy rains being witnessed at the scene.
The OCPD said the number of casualties could be more, but that the relevant authorities will give a proper brief later.
CITIZEN DIGITAL