Zaidi ya watu 55 wahofiwa kufariki baada ya kuangukiwa na 'Kontena'

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
1688151493306.png


Kwa mujibu wa taarifa ya Mashuhuda, ajali imetokea eneo la Londiani Nchini Kenya baada ya Lori kupoteza uelekeo na kuwafuata waenda kwa Miguu, Wafanyabiashara na Mabasi madogo ya Abiria yaliyoegeshwa kando ya Barabara.

Kamanda wa Polisi wa Londiani, Agnes Kunga amethibitisha ajali hiyo na kueleza kuwa miili ya waliofariki ilikuwa bado iko chini ya 'Kontena' na kwenye Magari yaliyobanwa na Lori hilo.

Zaidi ya Majeruhi 60 wamekimbizwa katika Vituo mbalimbali vya Afya vya Londiani, Kericho na Nakuru. Zoezi la uokoaji limekumbwa na ugumu kutokana na Mvua kubwa zinazonyesha.

========

More than 55 people are feared dead and several others hospitalised in Kericho County following a tragic accident that occurred at Londiani junction on Friday evening.

The 6.30pm accident occurred after a truck lost control, running over pedestrians, business people and matatus which were parked by the roadside.

The truck was heading to Kericho before it lost control and veered off the road, ramming into tens of hawkers who were busy along the Nakuru-Kericho highway.

According to eye witnesses, the driver of the truck was trying to avoid hitting a bus that was parked on the road after developing a mechanical hitch before losing control.

Several Nissan matatus were damaged beyond recognition during the evening accident.

According to Londiani OCPD Agnes Kunga, the rescue is still going on with several bodies still trapped inside vehicles with some under the truck.

More than 60 people have so far been rushed to different hospitals in Londiani, Kericho and Nakuru where they are currently receiving treatment.

Rescue efforts have been slowed by heavy rains being witnessed at the scene.

The OCPD said the number of casualties could be more, but that the relevant authorities will give a proper brief later.

CITIZEN DIGITAL
 
View attachment 2674562
Kwa mujibu wa taarifa ya Mashuhuda, ajali imetokea eneo la Londiani Nchini Kenya baada ya Lori kupoteza uelekeo na kuwafuata waenda kwa Miguu, Wafanyabiashara na Mabasi madogo ya Abiria yaliyoegeshwa kando ya Barabara.

Kamanda wa Polisi wa Londiani, Agnes Kunga amethibitisha ajali hiyo na kueleza kuwa miili ya waliofariki ilikuwa bado iko chini ya 'Kontena' na kwenye Magari yaliyobanwa na Lori hilo.

Zaidi ya Majeruhi 60 wamekimbizwa katika Vituo mbalimbali vya Afya vya Londiani, Kericho na Nakuru. Zoezi la uokoaji limekumbwa na ugumu kutokana na Mvua kubwa zinazonyesha.

========

More than 55 people are feared dead and several others hospitalised in Kericho County following a tragic accident that occurred at Londiani junction on Friday evening.

The 6.30pm accident occurred after a truck lost control, running over pedestrians, business people and matatus which were parked by the roadside.

The truck was heading to Kericho before it lost control and veered off the road, ramming into tens of hawkers who were busy along the Nakuru-Kericho highway.

According to eye witnesses, the driver of the truck was trying to avoid hitting a bus that was parked on the road after developing a mechanical hitch before losing control.

Several Nissan matatus were damaged beyond recognition during the evening accident.

According to Londiani OCPD Agnes Kunga, the rescue is still going on with several bodies still trapped inside vehicles with some under the truck.

More than 60 people have so far been rushed to different hospitals in Londiani, Kericho and Nakuru where they are currently receiving treatment.

Rescue efforts have been slowed by heavy rains being witnessed at the scene.

The OCPD said the number of casualties could be more, but that the relevant authorities will give a proper brief later.

CITIZEN DIGITAL
May their souls rest in eternal peace
 
Zaidi ya watu 55 wanahofiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 60 kujeruhiwa na kukimbizwa katika hospitalini kaunti ya Kericho nchini Kenya, baada ya lori kupoteza mwelekeo, kisha kuangukia watembea kwa miguu, wafanyabiashara na Daladala zilizokuwa zimeegeshwa kando ya barabara.

Lori hilo lilikuwa likielekea Kericho kabla ya kupoteza muelekeo na kugonga makumi ya wachuuzi waliokuwa na shughuli zao kando ya barabara kuu ya Nakuru-Kericho.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi, Agnes Kunga, uokoaji bado unaendelea, huku miili kadhaa ikiwa imenasa ndani ya magari na baadhi ikiwa chini ya lori.

Screenshot 2023-06-30 at 22-22-26 ITV TANZANIA on Instagram “Zaidi ya watu 55 wanahofiwa kufar...png
 
Poleni sana ila,

ila Waafrika wote akili zao ni moja, yaani hili tatizo la kujipanga barabarani kwa kisingizio cha kutafuta maisha kitawagharimu wengi sana,
hapo dar tu likitokea kama hili linaondoka na watu kama mia mbili hivi
 
Back
Top Bottom