Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Rais wa Kenya William Ruto amesaini Mkataba wa Biashara Huria na Umoja wa Ulaya licha ya kwamba Mkataba huo ulikuwa unapingwa na Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika Mashariki Toka 2016. ========...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania. Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na...
12 Reactions
51 Replies
4K Views
Hehehe Kenya Tanzania
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Huku Kenya iko watu wameweka tangazo jiji ya kwamba wana nyumba ya kukodisha. Niliona nyumba moja Kodi ilikuwa elfu kumi na saba. Lakini maeneo hayo nyumba ya bedroom mbili huwa na kodi ya kama...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Siku moja baada ya Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA) kutoa taarifa ya kumsimamisha Kazi Ezra Chiloba, imebainika sababu ni ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 11.2, ambazo ni Fedha...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais William Ruto ametoa maagizo hayo na kueleza Serikali yake imeweka nia ya kutengeneza mazingira yenye Ushindani ikiwemo kuongeza ushawishi kwa Makampuni ya Teknolojia kwaajili ya kuwekeza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The available slot for hosting the tournament isnt open before 2025,with proper supporting infrastructures EAC can bid as a block and host the tournment in 2025. Cities like...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini Kenya amefutwa kazi baada ya kukatika kwa umeme na kuwaacha abiria wakiwa gizani kwa saa kadhaa katika Uwanja Mkuu wa Ndege wa Nairobi. Alex Gitari...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Haya as if Kenya hakuna gangs, US funded and trained Kenyan troops zitatumwa Haiti eti kuzuia uhalifu, ikumbukwe tangia raisi wa watu wa Haiti auliwe Ikulu na so called gangs Haiti haijatulia na...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimekuwa nikisikia neno Nairobi kwenye movies and series nyingi sana za western, na nadhani pia na nyie mtakubaliana na mimi kuhusu hili. Swali langu ni kwanini Nairobi mara nyingi na sio jiji...
7 Reactions
123 Replies
9K Views
Kampuni hizo ni pamoja na Mulla Pride Ltd, iliyopigwa faini ya Tsh. 50,404,970. Taasisi hii inamiliki 'App' za kutoa huduma za Mikopo za FairCash na KeCredit, imebainika kutumia Taarifa Binafsi za...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kenya itaanza kujenga kinu cha nyuklia mnamo mwaka wa 2027. Kinu cha nyuklia cha Megawati 1,000 ni sehemu ya mpango wa nchi kuhamia kwa nishati safi na kuongeza uzalishaji wa kawi. Kaimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mkazi mmoja wa jiji la Nairobi amejenga ukuta urefu wa ghorafa tano ili kulinda faragha ya makazi yake. Hii ni baada ya ghorafa kujengwa jirani na nyumba yake. Huyu anahatarisha maisha yake -huu...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Ukraine kuanzisha kitovu cha nafaka katika bandari ya Mombasa ili kukabiliana na uhaba wa chakula Afrika Mashariki, asema Rais Ruto baada ya mazungumzo na Rais Zelensky. Haya yametokea wakati...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Started under the Uhuru regime, the first phase of the envisioned Mombasa commuter rail is almost complete. The first phase is an MGR link from the SGR terminus into Mombasa CBD. The first phase...
6 Reactions
2 Replies
1K Views
"Ripoti kutoka Afisi ya Msimamizi wa Bajeti inaonyesha taswira yenye kiza kutokana na takwimu zinaonesha kuwa asilimia 83 kubwa ya mapato yote yaliyokusanywa na serikali yametumika kwa malipo ya...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Safaricom inafanya mashirikiano na kampuni ya Apple kuiunganisha M-Pesa na PayPal ili kuongeza wigo wa shughuli za M-Pesa kimataifa. Ruto asema wana nia ya kuzitumia fursa zilizoletwa na kampuni...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Tukio hilo limetokea wakati waandishi wa habari wakirekodi tukio la wafanyakazi wa makaburi ya Langata kugoma wakilalamika kucheleweshewa mishahara yao, ambapo polisi waliwataka waandishi wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gavana wa Mombasa Mh Nassir amesema hawako tayari kuona Bandari yao inabinafsishwa Kifala fala Nasir amemtaka Rais Ruto akabinafsishe Shirika la Ndege Ili Midege iongezeke Source: Mwanzo TV...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni Wakenya ambao wamesema Kenya anahitajika mtu kama Tundu Lisu ambaye hana maslahi binafsi kwenye mambo ya Biashara Wamedai kampuni za Saudia na UAE walisaini Mkataba wa kusaidiana kuingia...
1 Reactions
1 Replies
558 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…