Jinsi Kenya inavyotoa vipato vinono kwa walimu na watumishi ukilinganisha na Tanzania

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.

1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.

2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.

3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
  1. house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
  2. medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
  3. commuter allowances tsh 84,000/-
  4. hardship alowance 120,000/-
  5. Leave allowance 100,000/-
Hiyo hupata kila mwalimu.

Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.

Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.


Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
 
Sasa kama mmeuza Madini bila faida , wanyama mnauza , gesi mmeuza , maeneo ya hifadhi mnagawa , bandari na yenyewe ndo hvo , na bado mnakopa kila sku , bado miamala mnakata , Kodi mnapandisha , maendeleo yenyewe hayaonekani ... Unategemea maisha mazur Kwa walimu ?? Hao maticha waendelee tuu kujipanga kwenye kausha damu
 
Tanzania uchawa unalipa mno hatujawa serious hata kidogo na hatutakuwa.Tanzania ndio nadhani nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na wasomi wajinga duniani.Unakuta jitu lina PhD na cheo serikalini limekomaa kabisa eti vijana mjiajiri,ikitokea limetumbuliwa linaanza kulialia,si ukajiajiri? Uchawi uliotumika kuiloga Tanzania ni hatari,siyo kwa bongolala hii
 
Hii inch ni mbovu yani mpaka watu tuingie sikumoja barabarani Chama cha CCM wanafaidika kupitia wananchi ambao wengi wanaelimu duni(wajinga) hata secta binafisi wameiga, yani unamlipa mwalimu 370000, kwa mwezi mzima, halafu utegemee kwamba atafundisha vizuli? Matokeo yake elimu yetu inashuka hadhi kila mwaka kwa sasa form 4 nikama la7 ya 2010 kurudi nyuma yani ni kawaida kwasasa kumuona form 4 akiwa hajui kujitambulisha kwa lugha ya kiigreza.
 
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

1. Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania.

2. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki 8 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.
2. Hupokea pia ruzuku ya Kodi ya nyumba Kati ya 130,000/- kwa mwezi.
3hupokea karibu tsh laki moja ya bongo ya mazingira magumu.
4. Hupokea mishahara miwili kwa mwezi januali kila mwaka ambayo huiita ruzuku ya likizo. Hizo uingia moja kwa moja sio za kuombea.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Pia Zipo allowance kibao nje ya zile tulizoolodhesha.
Huku kwetu fedha za umma ni Mali ya CCM na washirika wake!
 
Serikali yaTanzania haiko serious na elimu ya watoto wetu kwa sababu si kwa dharau hizi wanazifanyiwa watekelezaji wa mitaala yetu .Sijui nani aliwadanganya kwamba nguvu kubwa elekekezeni kwenye ujenzi wa madarasa maslahi ya walimu achaneni nayo ila jikiteni kwenye propaganda za kusema maslahi ya walimu yakiwemo mapunjo ya miaka na miaka tumelipa yote yaliyobaki ni ya wachache tu wakati si kweli
 
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.

1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.

2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.

3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
  1. house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
  2. medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
  3. commuter allowances tsh 84,000/-
  4. hardship alowance 120,000/-
  5. Leave allowance 100,000/-
Hiyo hupata kila mwalimu.

Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.

Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.


Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
Fedha ya Tanzania hutumika kufidia hasara zinazotokana na uzembe na ujinga wa viongozi.
 
Hii inch ni mbovu yani mpaka watu tuingie sikumoja barabarani Chama cha CCM wanafaidika kupitia wananchi ambao wengi wanaelimu duni(wajinga) hata secta binafisi wameiga, yani unamlipa mwalimu 370000, kwa mwezi mzima, halafu utegemee kwamba atafundisha vizuli? Matokeo yake elimu yetu inashuka hadhi kila mwaka kwa sasa form 4 nikama la7 ya 2010 kurudi nyuma yani ni kawaida kwasasa kumuona form 4 akiwa hajui kujitambulisha kwa lugha ya kiigreza.
Hyo 370k ndo mwalimu yupi analipwa mkuu.
 
ukiona mshahara mdogo we acha kazi njoo uwe kama kina sisi mtaani utanishukuru baadae
Unadhani hilo ni suluhisho? Watoto wetu watafundishwa na nani kama walimu watakimbia fani zao? Nadhani uwezo wako wa kufikiri ni mdogo! Badala ya kutafuta ufumbuzi unaongeza matatizo!

Tanzania unapaswa kuboresha mazingira ya kufanyia kazi walimu ili tujenge taifa la watu wasomi wanaojitambua na siyo misukule!

Mataifa mengi yaliyoendelea yaliwekeza kwenye elimu!
 
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.

1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.

2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.

3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
  1. house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
  2. medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
  3. commuter allowances tsh 84,000/-
  4. hardship alowance 120,000/-
  5. Leave allowance 100,000/-
Hiyo hupata kila mwalimu.

Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.

Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.


Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
Tanzania inakosa uongozi bora! Viongozi wetu wengi tulionao toka ngazi ya juu mpaka chini ni wachawi tu! Hawana uwezo wowote! Wamepata uongozi kupitia uchawi! Wapo kutimiza tamaa zao na si kuongoza!
 
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.

1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.

2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.

3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
  1. house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
  2. medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
  3. commuter allowances tsh 84,000/-
  4. hardship alowance 120,000/-
  5. Leave allowance 100,000/-
Hiyo hupata kila mwalimu.

Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.

Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.


Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
Tanzania walimu ndio kada ya watu waoga kwenye hii sayanri ya Dunia, angalia wanavuo perekeshwa na Wakurugenzi
 
Back
Top Bottom