Wilaya ya Handeni mkoani Tanga umeme unakata sana na ni kila siku bila kupewa taarifa , kila siku kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa 1 jioni Kwa mji wa kabuku na maeneo mengi ya wilaya ya Handeni huwa hatuna umeme hivyo kusababisha shughuli za uzalishaji kukwama ambazo zinategemea umeme Kushindwa kuendelea ,tunaomba utatuzi pamoja na kupewa taarifa pale ambapo umeme utakatika au kama kuna marekebisho tupate taarifa.