Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Katika pita pita zangu nimejikuta naanza kuvutiwa na designs zinazojitokeza kila siku za makanisa, ujenzi wako una staajabisha sana, tuoneshe jengo la kanisa la huko kwenu ikipendeza tupe picha za...
8 Reactions
34 Replies
11K Views
Wakuu habarini za mihangaiko, nimejenga nyumba kubwa ya vyumba 3 nimeishia kuweka lenta lakini kutokana na kupanda Kwa gharama za vifaa vya ujenzi kuna uwezekano wa kuchukua hata miaka miwili Hadi...
6 Reactions
30 Replies
52K Views
Hiyo ramani inaweza gharimu jumla kuu Bei gani Location Niko Mwanza
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Natumain wote ni wazima mnaendeleea na kupambana kutengeneza uchumi wenu na wa Taifa letu. Nahitaji marine board na mirunda vilivyotumika Dodoma au singida kama unauza au unajua anayeuza na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam wadau wa ujenzi, Naomba kufahamu maduka ya Spanish tiles kwa hapa Dsm. Of course najua lililopo Victoria, Lakini ngependa kujua zaidi ili niwwze kufanya ulinganifu wa Bei,na aina tofauti...
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Salaam wana JF, Nimetumia plywood kama kuta za banda la kuhifadhia bidhaa zisipigwe na jua. Kunyeshewa mvua za wiki mbili tuu imebadilika rangi na kuwa nyeusu. Nikashauriwa, nikapaka rangi ya...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Nyumba hizi hujengwa nyumba vikiangaliana, ni ujenzi maarufu katika nchi nyingi za Afrika. Choo, bafu na jiko la jumuia hukaa katika vyumba vya nyuma. Siku hizi wengi hupikia majiko ya gesi...
4 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari wakuu, Kuna kiwanja nimekipenda kiko umbali wa karibu km 2 kutoka kwenye mgodi. Nikiangalia material waliokusanya kwenye huo mgodi naona kabisa kwenye hiki kiwanja kushachimbwa chini kwa...
0 Reactions
3 Replies
763 Views
Habarini za humu JF? Nilikuwa naomba kwa wenye utaaramu wa ujenzi na kulingana na hali ya kkmazingira na gharama kutofautiana kulingana na mazingira au maeneo tuliopo. Hivyo nilikuwa naomba...
1 Reactions
54 Replies
7K Views
Katika Kufanya Bathroom yako kuwa ya Kisasa na Ya Kuvutia..Shower Mixer za Kuchimbia Ukitani ni best option. Installment yake ni Kwa kuanzia hatua za Awali za Kutengeneza mfumo wa maji safi na...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Wataalam wa ujenzi hii nyumba inaweza kugharimu kiasi gani nimeipenda.
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Wataalam na wazoefu maswala ya ujenzi hasa kupaua naombeni msaada kulingana na title hapo juu. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Naombeni kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko, katika vtu vifuatavo hapa Dar es Salaam. 1 Mawe, kokoto, na mchanga 2...
3 Reactions
61 Replies
42K Views
Habari wakuu. Mimi naombeni msaada wa kutaka kujua kama je ni kweli unaweza kubadili jina la muuzaji kiwanja kwenda kwa mnunuaji kiwanja? Nimenunua kiwanja ambacho kina OFA tu sasa bado...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wa JF..Leo tuzungumzie sababu za harufu chafu ya choo kurudi ndani asa katika vyoo vya kuchuchumaa au Asian type..zifuatazo ni sababu za harufu chafu kurudi ndani.. 1.Trap...
7 Reactions
23 Replies
5K Views
Nawasalimu wakuu. Naomba kwa wanaofahamu wanieleweshe kuhusu kuweka system ya gas ya kupikia katika jiko. Katika pitapita zangu nikawasikia jamaa wanaongelea kuwa kuna mfumo ambao mtungi wa gas...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Bila kupepesa macho naomba wajuzi wanisaidie kudesign paa la hii nyumba.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamaa yangu tupo naye kazini kitambo sana. Si haba vijicent vipo. Shida kubwa ya jamaa ni ubabe na unyanyasaji sababu ya vijicent. Huwa namwambia asiwe na lugha za kibabe, dharau na unyanyasaji...
25 Reactions
55 Replies
7K Views
Habari wakuu; Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nina nyumba yangu yangu ambayo niliijenga mfululizo (non stop) hadi nahamaia, na sasa imetimia mwaka mmoja. lakini jambo la kushangaza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza. Fundi maiko wa kitaa atatumika...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom