shumpert
Senior Member
- Sep 14, 2017
- 136
- 149
Wakuu habari zenu,
Naombeni kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko, katika vtu vifuatavo hapa Dar es Salaam.
1 Mawe, kokoto, na mchanga
2 Matofali ya kuchoma
3 Sementi
4 Nondo
5 Mbao, na milango
6 Mabati
7 Grills, vioo,
8 Rangi, misumari, tails
Naombeni kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko, katika vtu vifuatavo hapa Dar es Salaam.
1 Mawe, kokoto, na mchanga
2 Matofali ya kuchoma
3 Sementi
4 Nondo
5 Mbao, na milango
6 Mabati
7 Grills, vioo,
8 Rangi, misumari, tails