Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Wakuu, Nimeambatanisha roof plan ya nyumba ambayo imeshajengwa hivyo imebaki kuezekwa. Nategemea kutumia bati za versatile, hivyo kwa wazoefu mliopo humu ndani nitashukuru sana kama mtaweza...
4 Reactions
44 Replies
9K Views
Tafadhali nisaidieni wadau kujua gundi nzuri na imara kwa bati linalovuja.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni muda muafaka sasa tuhamie kwenye ujenzi huu 👇
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Waheshimiwa, Nipo katika ile hatua ya kuumiza kichwa, Fundi ameniandikia vifaa vinavyohitajika, Naomba mnijuze bei ya items namba 1 hadi 8, hasa ndugu zangu wafanya biashara wa hardware Dar.
2 Reactions
55 Replies
22K Views
Sababu kubwa ni mjengaji kumudu gharama. Kwanza fundi akiiona picha na ramani anakutajia gharama yake. Gharama anakutajia kwakuwa anaijua kazi na anaujua ugumu wake. Unaamua kumtafuta fundi...
0 Reactions
2 Replies
755 Views
Habari! Natafuta Jengo kwa ajili ya kufanya/Kukodi hospital kama kuna madalali au watu wenye connection humu karibuni!! Mkoa wa Dar es salaam Vigezo! Gorofa 3 au 2 au 1 vyumba 25 na kuendelea...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari za pilikapilika za majukumu ya siku ya leo. Naamini siku inaenda vyema kwako. Kama kichwa cha habari kinavyosema, naomba MSAADA wa kujua lilipo duka zuri la vifaa vya UMEME (TRONIC)...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini wakuu, Tafadhali naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwa beach plots ambazo zipo kama 400m toka beach. Asante.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu wa JF..Leo tuangalie sababu zinazo pelekea choo kupata pindi tu kinapo anza kutumiaka 1.Kununua choo kilicho na ubora mdogo hapa ata ukifanyie usafi vipi choo lazima...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Maeneo niliyopo hakuna umeme, ila maji ya kisima yapo. Nataka nitumie submersible pump (pampu ya kisima) ya 0.5 HP. Je, ni minimum, angalau nipate generator la KVA ngapi? Na bei ya generator...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo naandika project ya smart city. For a Better Urban Future. The way we can overcome the challenges of urban house through join forces btn squatting community, government policies and other...
1 Reactions
4 Replies
841 Views
Habari za mda huu wana jf kuna matofali ya kujenga yanauzwa yapo kigamboni kibada mwenye kuhitaji tafadhali tuwasiliane ....... hakuna dalali wala mtu kati kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0742612561...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari . Nimepata kuona kwenye nyumba za matajiri wachache wanafunga European Aluminum very high quality na ngumu zinakuwa na rangi ya blue. Ulitoa Atlantic metal Ltd ni nani mwingine anatengeneza...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
[emoji985]
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanaojua taratibu za kufanya kujua kingingi cha nyumba yako ili utata uishe na jirani. Ndugu yangu amenunua nyumba Ilala mtaa wa Moshi. Hizi nyumba zilijengwa enzi za Nyerere sasa anataka kujua na...
0 Reactions
2 Replies
794 Views
Hizi kweli ziko genuine, wabongo tunajuana unaoneshwa ramani kali, jengo ghorofa kila kitu wanasema hela ndogooo how come, tupeane uzoefu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Naombeni msaada wa makadirio ya tofali na material za ujenzi kwa ramani.
6 Reactions
76 Replies
10K Views
Nimekuwa nikiwaza kwa muda sasa namna ninavyoweza kuifanya baadhi ya milango ya ndani (ya mbao) isifunguke bali iwe ya kuslide tu mfano wa geti. YouTube nikakuta kwa wenzetu wanaitumia sana kwani...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa gharama ya kufanya wiring kwa room mbili tu, pamoja na vifaa vyote vinavyohitajika.
3 Reactions
38 Replies
27K Views
Huwa napitagagapitaga kwenye app ya jiji kuangalia mijengo. Bei ya mijengo ni kubwa inatisha sana. Hasa Dar na Arusha. Nini kinasababisha hivi? Ni uhaba wa nyumba, uhaba wa maeneo mazuri au...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Back
Top Bottom