Kwa kilotokea kabla, wakati na baada ya Uchaguzi mkuu wa raisi na wabnge nchini Tanzania, Tasnia ya habari imezidi kujikuta ikigubikwa na ujinga, ukosefu wa maadili, uhaini na kutokujielewa...
Taarifa kutoka Kigoma zinazai dalali wa siasa, Zitto Kabwe aliwekwa mahabusu kwa siku kadhaa baada ya uchaguzi mkuu kwa kuleta vurugu baada ya kushindwa uchaguzi.
Inadaiwa aliposhindwa kulinda...
1. Uanachama wa Tanzania katika ICC
Ni kweli kwamba Tanzania ni mwanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), kwa kuwa ilisaini na kuridhia Mkataba wa Roma (Rome Statute) mwaka 2002...
Shekhe Mwapopo ameamua kuvunja ukimya baada ya yote kutokea ameeleza chanzo cha haya yote mbali na hayo ametangaza vita kubwa na Mwanadada mange Kimambi kwa kusema anandaa jambo kubwa ambalo...
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama cha ACT Wazalendo Taifa, Abdul Nondo, amelaani vikali vifo vya wananchi waliouawa kwa risasi wakati wa maandamano yaliyofanyika nchini, akisema kuwa hakuna...
Leo Novemba 12, 2025 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu inatarajiwa kuendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.
Kesi hiyo iliahirishwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio Picha ya Siku kutoka Bungeni ikiwaonyesha Viongozi wetu na watumishi wetu Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete pamoja na Mheshimiwa Jesca Magufuli vijana wetu...
Mtu anayetoa ushahidi kwa kificho aonekane na jaji' Dkt.Rugemeleza Nshala,mwanasheria mkuu wa CHADEMA amesisitiza hilo mara baada ya kesi ya Lissu kuahirishwa,
Leo shahidi wa kificho wa jamuhuri...
Akizungumza na Wanahabari leo, Novemba 12, 2025, jijini Dar es Salaam, Nondo amesema inapaswa kutolewa fidia kwa watu walipoteza wapendwa wao kutokana na kuwawa katika maandamano, lakini waliopata...
Kufuatia kuanza rasmi kwa shughuli za Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wananchi jijini Dodoma wametoa wito kwa Wabunge kuachana na tabia ya ushabiki na kusifia kila jambo...
Baraza la Vijana wa CHADEMA Taifa kupitia kwa Katibu Muenezi wa BAVICHA Taifa, Felius Festo kinimi watoa tamko juu ya yaliyotokea yaliyotokea Oktoba 29, 2025, "wameharibu msingi wasitafute wa...
Heche na Genge lako ,mko kwenye Kikaango!!.
Sikilizeni Wananchi na Wanachama wenu.
Taifa Lina Msiba mzigo sana, tunazika Kila siku, mbaya zaidi Ndugu zetu wengine Miili yao Imeteketezwa.
Aiseee...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Pope Leo alitoa wito ulimwenguni kwa watu wote kuiombea Tanzania kwa mauaji yaliyofanywa na Rais Samia kwa watanzania
Inadaiwa jeshi kutoka...
Wakili Maduhu Williams kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) amewaeleza Jumla ya watuhumiwa 641 wamefikishwa mahakamni kwa kesi za uhaini, unyang'anyi wa kutumia silaha na...
Inafahamika wazi kabisa watu wengi hawaitaki hata kuisikia Serikali iliyopatikana baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 na kumsimika Rais Samia hali iliyopelekea maandamano yaliyosababisha maumivu...
"Kilichotokea Oktoba ni funzo kwetu na matatizo ya muda mrefu ambayo yanahitaji hatua za dharura, za kati na za muda mrefu kuzitatua kwa sababu unapokuwa katika taifa ambalo linakuwa na Sonona...
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasiia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Novemba 12, 2025 baada ya kuisha kusikilizwa kwa kesi ya Uhaini ya mwenyekiti wa chama hicho Tundu...
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda ametoa pole kwa Walipakodi, Watumishi wa TRA na Watanzania wote kwa ujumla waliopata athari mbalimbali zilizotokana na...
Watanzania wamehimizwa kuvumiliana, kudumisha umoja na kuijenga nchi kwa pamoja, wakitakiwa pia kupuuza uvumi mbalimbali unaoelezwa kwenye Mitandao ya Kijamii kwamba Askari Polisi na Maafisa wa...
Viongozi wa vyama vya siasa mkoani Tanga wamewataka wananchi kuendelea kudumisha utulivu na amani waliyoonyesha wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka huu.
Viongozi hao wamesema hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.