Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa kilotokea kabla, wakati na baada ya Uchaguzi mkuu wa raisi na wabnge nchini Tanzania, Tasnia ya habari imezidi kujikuta ikigubikwa na ujinga, ukosefu wa maadili, uhaini na kutokujielewa...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Taarifa kutoka Kigoma zinazai dalali wa siasa, Zitto Kabwe aliwekwa mahabusu kwa siku kadhaa baada ya uchaguzi mkuu kwa kuleta vurugu baada ya kushindwa uchaguzi. Inadaiwa aliposhindwa kulinda...
11 Reactions
7 Replies
464 Views
1. Uanachama wa Tanzania katika ICC Ni kweli kwamba Tanzania ni mwanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), kwa kuwa ilisaini na kuridhia Mkataba wa Roma (Rome Statute) mwaka 2002...
3 Reactions
8 Replies
994 Views
Shekhe Mwapopo ameamua kuvunja ukimya baada ya yote kutokea ameeleza chanzo cha haya yote mbali na hayo ametangaza vita kubwa na Mwanadada mange Kimambi kwa kusema anandaa jambo kubwa ambalo...
0 Reactions
29 Replies
536 Views
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama cha ACT Wazalendo Taifa, Abdul Nondo, amelaani vikali vifo vya wananchi waliouawa kwa risasi wakati wa maandamano yaliyofanyika nchini, akisema kuwa hakuna...
2 Reactions
3 Replies
229 Views
Leo Novemba 12, 2025 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu inatarajiwa kuendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Kesi hiyo iliahirishwa...
11 Reactions
31 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hii ndio Picha ya Siku kutoka Bungeni ikiwaonyesha Viongozi wetu na watumishi wetu Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete pamoja na Mheshimiwa Jesca Magufuli vijana wetu...
1 Reactions
40 Replies
1K Views
Mtu anayetoa ushahidi kwa kificho aonekane na jaji' Dkt.Rugemeleza Nshala,mwanasheria mkuu wa CHADEMA amesisitiza hilo mara baada ya kesi ya Lissu kuahirishwa, Leo shahidi wa kificho wa jamuhuri...
5 Reactions
24 Replies
650 Views
Akizungumza na Wanahabari leo, Novemba 12, 2025, jijini Dar es Salaam, Nondo amesema inapaswa kutolewa fidia kwa watu walipoteza wapendwa wao kutokana na kuwawa katika maandamano, lakini waliopata...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
Kufuatia kuanza rasmi kwa shughuli za Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wananchi jijini Dodoma wametoa wito kwa Wabunge kuachana na tabia ya ushabiki na kusifia kila jambo...
1 Reactions
3 Replies
150 Views
Baraza la Vijana wa CHADEMA Taifa kupitia kwa Katibu Muenezi wa BAVICHA Taifa, Felius Festo kinimi watoa tamko juu ya yaliyotokea yaliyotokea Oktoba 29, 2025, "wameharibu msingi wasitafute wa...
3 Reactions
5 Replies
164 Views
Heche na Genge lako ,mko kwenye Kikaango!!. Sikilizeni Wananchi na Wanachama wenu. Taifa Lina Msiba mzigo sana, tunazika Kila siku, mbaya zaidi Ndugu zetu wengine Miili yao Imeteketezwa. Aiseee...
10 Reactions
29 Replies
663 Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Pope Leo alitoa wito ulimwenguni kwa watu wote kuiombea Tanzania kwa mauaji yaliyofanywa na Rais Samia kwa watanzania Inadaiwa jeshi kutoka...
16 Reactions
71 Replies
2K Views
Wakili Maduhu Williams kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) amewaeleza Jumla ya watuhumiwa 641 wamefikishwa mahakamni kwa kesi za uhaini, unyang'anyi wa kutumia silaha na...
1 Reactions
2 Replies
264 Views
Inafahamika wazi kabisa watu wengi hawaitaki hata kuisikia Serikali iliyopatikana baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 na kumsimika Rais Samia hali iliyopelekea maandamano yaliyosababisha maumivu...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
"Kilichotokea Oktoba ni funzo kwetu na matatizo ya muda mrefu ambayo yanahitaji hatua za dharura, za kati na za muda mrefu kuzitatua kwa sababu unapokuwa katika taifa ambalo linakuwa na Sonona...
1 Reactions
3 Replies
127 Views
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasiia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Novemba 12, 2025 baada ya kuisha kusikilizwa kwa kesi ya Uhaini ya mwenyekiti wa chama hicho Tundu...
7 Reactions
5 Replies
282 Views
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda ametoa pole kwa Walipakodi, Watumishi wa TRA na Watanzania wote kwa ujumla waliopata athari mbalimbali zilizotokana na...
0 Reactions
6 Replies
223 Views
Watanzania wamehimizwa kuvumiliana, kudumisha umoja na kuijenga nchi kwa pamoja, wakitakiwa pia kupuuza uvumi mbalimbali unaoelezwa kwenye Mitandao ya Kijamii kwamba Askari Polisi na Maafisa wa...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Viongozi wa vyama vya siasa mkoani Tanga wamewataka wananchi kuendelea kudumisha utulivu na amani waliyoonyesha wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka huu. Viongozi hao wamesema hayo...
0 Reactions
5 Replies
123 Views
Back
Top Bottom